Recent content by emajo

  1. E

    JamiiForums Tanzania Sababu gani hupelekea watu kujenga na kuishi juu ya milima katika jiji la Mwanza? Maisha ya makazi huko milimani huwa yakoje?

    Wanapenda kuwa karibu na mji,viwanja vingi vya tambarale Mwanza viko mbali na mji hiyo inawapelekea kujenga kwenye milima iliyo karibu na mji
  2. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kampuni za betting zinatumia nini kupanga odds?

    Mfumo wa betting unaendeshwa na muyahudi,hawa watu akili zao ziko mbali sana hilo mlitambue
  3. E

    JamiiForums Tanzania Nimepigwa Tsh milioni 8 kwenye biashara ya uwakala kupitia mfanyakazi mzembe

    Hii biashara ya mihamala ni risk sana,jamaa wanawinda kila siku nawana mbinu nyingi hatari,ila mabinti ndio wahanga wakubwa wahaya matukio. binti akisifiwa akitongozwa akili inahama washikaji wanatumia opportunity. Pole mdau
  4. E

    JamiiForums Tanzania Nilivyo ibiwa kimaajabu

    Pole sana mkuu
  5. E

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Mwendokasi ina mabasi 60 tu, mara ya kwanza yalikuwa takribani 200"

    Serekali kuendesha miradi ni ngumusana,ingeingia ubia au kuibinafsisha tu,hata mradi wa sgr sizani kama uta simama na wenyewe
  6. E

    JamiiForums Tanzania Je, hivi huwa wanawaza kama ambavyo sisi wengine tunawaza juu yao?

    Mwanamke ameumbwa kumfurahisha mwanaume,yup tayari kufanya chochote ilimradi aone mwanume amefurahi au amependezwa nacho.
  7. E

    JamiiForums Tanzania Sio Wakenya tu wanaotuzidi Ujanja, hata Warundi, Waganda na Wanywaranda pia

    Hii kit ujamaa ndio tatizo linalo tu cost watanzanzania mpaka leo
  8. E

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Basi la Kampuni ya Abood Bus Service limepata ajali maeneo ya Mkolani

    Mabasi yanaondoka kwa kasi sana,naukiangalia nyegezi imeshakuwa katikati mji umepanuka,hivyo stand haikupaswa kujengwa tena nyegezi kuondoa msongomano usiokuwa na tija.ila kwa kwa style hii bado kuna ajari nyingi zitatokea maeneo hayo hasa mkolani na buhongwa
  9. E

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanin kamisheni ya voda mwanzo wa mwezi inapanda sana hata kama una miamala michache halafu kadiri siku zinavyoenda hupungua kwa miamala ileile?

    Kila muumala commission yake inaonekana,hivyo kama una wasiwasi uwe unaangalia commission kila baada muamala unaofanya
  10. E

    JamiiForums Tanzania Hakuna ajira, Iia Watanzania utasikia wakiitana majina haya! Kwanini?

    Kaka hii kitu tumetoka kuijadili na jamaa yangu mmoja wiki iliyo pita ,na umetembea mle mle.
  11. E

    JamiiForums Tanzania Biashara ya salon ukiwa serious nayo unaweza ukapuuza ajira

    Kama haupo funga kamera naona inaweza saidia.
  12. E

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mtangazaji wa Kituo cha Runinga cha Star Tv, Radio Free Africa Samadu Hassan afariki dunia

    R.I.P,ila na sikitika sana mtangazaji mkubwa kama huyu kukosa Usafiri wake mwenyewe ,sahara media fanyeni kuwajari wafanyakazi wenu.
  13. E

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya MeTL "Mo Dewji" yakanusha habari ya kufunga Viwanda vyake tarehe 20 Oct 2018

    Tunakoelekea Mungu ndio anajua.
  14. E

    JamiiForums Tanzania Fahamu hatari kubwa zinazozikabili nchi zinazotumia mifuko ya plastiki

    Halafu uwa najiuliza kwa mama lishe na baadhi ya migahawa unakuta wamefunika mfuko kwenye sufuria la wali,wengine wameweka ugali kwenye mfuko ya plastik ili isipoe,so najiuliza hii nayo si inaweza kuwa hatari
  15. E

    JamiiForums Tanzania Clouds wana shobo na Alikiba hadi wanaboa

    Nilichogundua nikwamba hakuna alikiba bila diamond,ila kuna diamond bila alikiba.
Back
Top Bottom