kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 616
- 789
Utasikia Vijana Wa Kitanzania Vile Wanaitana Boss, Chief, Mtaalamu, Doctor, Fundi, Mkuu, Professor, Muheshimiwa, Kiongizi, Captain Yaani Unaweza Kusema Nchi Haina Tatizo La AjiraHalafu Mtu Mwenyewe Anayeitwa Jina Hilo Sasa Hata Hana Sifa Hiyo.....
Je? Hivi Watanzania Tunakwama Wapi?
Je? Hivi Watanzania Tunakwama Wapi?