Kuna wanawake wanaishi vizuri na wadada wa kazi wengi wao wamama ambao umri umeenda na mdada wa kazi ni binti mdogo.
Kuchomoa card ni suala linalotegemea na muktadha wa yanayoendelea ndani ya nyumba. Wanawake wana namna yao ya kuuona ulimwengu usiwalaumu...hata kijiko kikidondoka usifikiri...
Kwangu nchi sio lazima iwe na chama cha upinzani kikubwa chenye nguvu.
ninatoa mifano...kuna nchi hazina mfumo mpana na wenye nguvu wa upinzania lakini ni nchi zilizo piga hatua katika maendeleo ya jamii.
Ng'wanapagi wewe si unaijua Botswana? kuna upinzani wowote wenye nguvu?
kikubwa nchi iwe...
Sio ruzuku tu hata huyo Magufuli anakula Ruzuku sema yake imepewa jina lingine.
hapa mada ni kuweka imani kwa kiongozi usilete usiasa usiasa.. Magufuli ni mwanasiasa, lowasa ni mwanasiasa, Mbatia ni mwanasiasa mtoa mada aliyetaka tuwajadili hapa.
Hapa tuna maswali ya kujiuliza kiongozi.
Ni kwanini Jamii yetu imeshindwa hili?
Je, ni historia ya kisiasa jamii iliyopitia toka tunapata Uhuru au ni mifumo iliyopo!
lakini hii mifumo inawekwa na nani kama sio sisi wananchi kupitia miongoni mwetu tunaowapa mamlaka ya kutuongoza?
Maendeleo ya nchi hii hayawezi kuletwa kwa imani za kumwamini kiongozi(kakikundi ka watu) atayaleta. tena ukikafuatilia mienendo yake..unastaajabu
Hili limekuwa linaisumbua jamii yetu ndiyo maana tumekuwa warahisi kwa kuendeshwa na cheap propagandas..
Viongozi washalijua hili wanatupindua...
Wanasiasa sio Miungu watu ni hawa hawa watu tunoishi nao kila siku.
Yaani wewe uyafanyao yanafanania na wayafanyao. Usimwamini mtu mpe asilimia kadhaa za kulifanya jambo ila sio kumwamini kwa kila kitu.
Ishu ni uaminifu wa wafanyakazi...
Hata kama huyu kasahau kufunga begi lake sio halali kwa scanners kuchukua.
Mkuu siku nyingine hivyo vitu usivipitishe huko tena bora hapo Jomo kenyata ungelia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.