kaka.. kuoa mke wa pili utapata stress za maisha za kukuua,,yaani utakufwaaaaa uzikwe wewe kabla ya muda wako..we wake wawili unaoa unadhani huyo utakayemleta atampenda mwenzie?? au unataka tu uumize mke wako mkubwa moyo??? kwanza utafanyiwa malimbwata wewe mpk ukome...yani utasababisha wivu kwa...
brother, am telling u thats a spirit.( A SPIRIT OF LUST) , U better start dealing with it before it starts to destroy u. pray pray pray.. i mean get into a spiritual warfare,and start to rebuke that spirit of adoltary, BIND IT , BREAK AND CAST WATEVA SPIRIT THAT CAUSES U UNFAITHNESS IN UR...
hhahah huu ulonely umezidi kipimo, mpk unaomba watu wakupm...........duh duh, nenda kanisani kwenye mikesha huko, afadhali mungu anaweza kukuona, kuliko kubaki hapo unatafuta kampani la watu. kwa hiyo style yako ya maisha kazi sana .
aende kwenye maombezi.. uyo ni pepo mchafu sana aseee....aende kwa gwajima uko kawe, au watumishi wengine dar wako wengi sana watumishi wenye upako wa kutisha kulikimbiza ilo pepo..sio kawaida iyo na asione eti iyo ni tabia ya kawaida
hiyo ni roho chafu ya kutaka kujiua( the spirit of committing suicide) ikatae na uivunje kwa mamlaka ya jina la yesu. we are always not standing by using the authority of our own name but jesus name
we kaka wa ajabu kweli..ila nisikushangae wewe bali nimshangae shetani aliendani mwako... asee iyo sio akili ya kawaida eti unasema bila aibu kabisa unaona huruma kumuacha,, na ndoa je?? cast out that unclean spirit in u...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.