Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,161
Kama wife alishakutishia kukupa sumu hapo kuna tatizo tena kubwa tu. Na alivyoondoka kwa kusema amechoka kuishi na wewe huenda alikuwa na hope ya kitu flani huko alikoenda. Anajishusha kwa sasa may be kwa kuwa alikuwa disappointed kwa alikokuwa anategemea. Kuwa makini sana