Mkuu umesema vizuri kabisa na mwandishi atuuulize watu tulioishi na huyo Rashid makwilo ilala Magorofani flat pale za NHC tutakupa story zake na usio Kwa ubaya Mungu alimpa nafasi ila yeye mwenyewe ndio kaharibu.
Mkuu bado hujachelewa 40+kijana Bado na una afya halafu pia ni mpambanaji Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi ufanikiwe Sana na kwenye madini Rudi unayadai Sana na utafanikiwa.
Matamasha ya utamaduni Kwa upande wa unguja ni kawaida Sana upande wa kusini unguja namaanisha kizimkazi,paje ,bwejuu na makunduchi ni Kila mwaka ni utamaduni wao na makunduchi lao linaitwa Mwaka kogwa hiyo ndio unguja na wangazija lao linaitwa ngoma ya kibuki haya mambo usikii Sana Kwa upande...
Zamani zilikuwa urembo mzuri tuu siku hizi wanawake wanaziusisha Sana na ushirikina kuwapata wanaume binasfi na rafiki yangu zake alitengeneza halafu mganga akamuwekea vidawa basi anawapata mabwana wenye pesa tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.