mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 277
- 548
Kuna vitu wenzetu mnatumia au ndo inatokea tu kama mambo mengine yanavyotokea kwa ntu kwa ntu?
Napiga mswaki kama kawaida kwa hizi dawa za kawaida kolgate, whitedent...lakini naona nakoelekea meno yanaelekea kuwa kama mvuta ugoro🙄na wkt situmii uo ugoro.
Napiga mswaki kama kawaida kwa hizi dawa za kawaida kolgate, whitedent...lakini naona nakoelekea meno yanaelekea kuwa kama mvuta ugoro🙄na wkt situmii uo ugoro.