Recent content by elivina shambuni

  1. elivina shambuni

    Mauzo ya bidhaa nje ya nchi yapaa

    BAADA ya Tanzania kusuasua kwa muda mrefu katika mauzo ya bidhaa nje ya nchi, hatimaye sasa mambo yameanza kubadilika, ambapo mauzo hayo yameongezeka kwa kiasi kikubwa, huku dhahabu ikitajwa kuchangia kupanda huko. KwaB mujibu wa Ripoti iliyotolewa na Benki Kuu Tanzania (BoT) kwa kipindi cha...
  2. elivina shambuni

    Bil 3/- zatua Mwanza kulipa fidia ujenzi daraja Kigongo - Busisi

    JUMLA ya Sh bilioni 3.145 zimepokelewa mkoani Mwanza na Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), kwa ajili ya kuwalipa fi dia wananchi. Watu hao ni watakaopisha ujenzi wa Daraja la Kisasa la Kigongo- Busisi lililopo Wilaya za Misungwi na Sengerema mkoani Mwanza. Hilo ndilo daraja...
  3. elivina shambuni

    Ujumbe maalum kwa maaskofu na waumini wa KKKT

    diana chumbikino, umenena vyema kabisa hata mie ninashangaa mwenendo wa kanisa letu la KKKT la baadhi ya Viongozi wetu kutumika kisiasa
  4. elivina shambuni

    Masoki ya madini yapaisha mapato mkoa wa Geita

    TANGU kuanzishwa kwa masoko ya madini nchini, mkoa wa Geita umeongeza ukusanyaji wa mapato kwenye sekta ya madini kutoka chini ya Sh bilioni moja kwa mwaka mpaka kufikia zaidi ya Sh bilioni 3.5 kwa mwaka. Hayo yameelezwa na Waziri wa Madini, Doto Biteko, alipokuwa akifungua Soko Kuu la Madini...
  5. elivina shambuni

    TRENI DAR- ARUSHA MWEZI UJAO

    WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe amesema kuanzia mwezi ujao wakazi wa Mkoa wa Arusha, wataanza kufurahia huduma ya usafi ri wa treni ya abiria. Kamwelwe alisema wakazi hao ambao walikuwa wakisikia usafiri huo kwa wenzao wa Mkoa wa Kilimanjaro, sasa wajiandae kupata...
  6. elivina shambuni

    …WABADHIRIFU WA MIRADI WANALIANGAMIZA TAIFA

    ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Mbinga, John Ndimbo amewaonya wabadhirifu wa fedha za miradi ya umma, kuacha uovu huo, kwani unaliangamiza taifa na kuumiza wananchi wa maeneo zilikoelekezwa kutumika. Aidha, amemtaka kila mwananchi kutenda haki kwa upendo katika eneo lake, iwe kazini au nyumbani...
  7. elivina shambuni

    MADINI YA BIL 5.6/- YAUZWA SOKO LA MADINI KWA SIKU 18

    BAADA ya serikali kukazia msimamo wake wa kila mfanyabiashara wa madini, kufanya biashara ndani ya soko la madini, vinginevyo atachukuliwa hatua ikiwemo kutaifi shwa madini na kushitakiwa kwa uhujumu uchumi, katika muda wa siku 18 Soko la Madini mkoani Arusha limeuza madini mbalimbali yenye...
  8. elivina shambuni

    Watalii 450 wa Israel watembelea Tanzania

    WATALII zaidi ya 450 kutoka Israel, wamewasili nchini mwezi huu kwa ajili ya kutembelea vivutio vya kitalii vilivyoko Kaskazini mwa Tanzania. Watalii hao wamekuja nchini kwa kutumia ndege binafsi na za kawaida. Kundi la kwanza la watalii 150 liliwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...
  9. elivina shambuni

    TPA yafanya upembuzi bandari za Ziwa Nyasa

    MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari (TPA), imesema inafanya upembuzi yakinifu katika bandari zote za Ziwa Nyasa unaolenga kuboresha miundombinu na kuimarisha shughuli za kibiashara katika ziwa a waandishi wa habari katika Bandari ya Kiwira iliyopo wilayani Kyela mkoani Mbeya. Alisema wameamua...
  10. elivina shambuni

    Chuo cha NIT kuanza kutoa mafunzo ya urubani

    Chuo cha Usafirishaji (NIT) kitaanza kutoa mafunzo ya urubani ambapo tayari kimepokea Tsh. 48.9 bilioni kutoka Benki ya Dunia (WB) kwa ajili ya ununuzi wa ndege 3 za mafunzo, kujenga karakana, na hosteli. Inaelezwa kuwa Jumla ya wanafunzi 10 wanatarajiwa kuanza mafunzo hayo kwa mwaka 2020/21...
  11. elivina shambuni

    Shirika la Reli limepewa maagizo kuanza matumizi ya tiketi za kielekroniki

    Shirika la Reli limepewa maagizo na Waziri wa Ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe kuanza matumizi ya tiketi za kielekroniki kwa abiria wake ikiwa ni njia mojawapo ya kupunguza usumbufu kwa abiria na kudhibiti upotevu wa mapato unaofanywa na wafanyakazi wasiokuwa waaminifu...
  12. elivina shambuni

    Mkurugenzi wa jiji la Arusha Dr. Madeni akabidhi madawati 3,900

    Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dr. Maulid Madeni amekabidhi madawati na Meza 3900 kwa Afisa Elimu Sekondari wa jiji hilo kwa ajili ya wanafunzi wapya wanaoijunga na elimu ya sekondari mwaka 2020 lengo ikiwa ni kuondokana na tatizo la uhaba wa madawati na meza. Akikabidhi madawati hayo, Dr.Madeni...
  13. elivina shambuni

    Rais Magufuli Amwaga Ajira Kwa Wahitimu JKT

    Rais Magufuli ameagiza vijana wote wenye elimu ya shahada ya kwanza waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) “Operesheni Magufuli” kupewa ajira katika taasisi mbalimbali za serikali. Ujumbe huo ulitolewa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dk. Laurean...
  14. elivina shambuni

    Benki ya Maendeleo Afrika yatoa mabilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa barabara Kenya na Tanzania

    WATU zaidi ya milioni tatu katika nchi za Tanzania na Kenya, watanufaika na Euro milioni 345 kutoka Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) kusaidia ujenzi wa barabara. Barabara zitakazohusika ni za Mombasa-Lunga Lunga/Horohoro na Tanga-Pangani-Bagamoyo katika awamu ya kwanza, ikiwa ni asilimia 78.5...
Back
Top Bottom