Mkuu nipo kwenye NDOA ila mwanamke akifikia hyo steji aise mpe anacho taka ,UNAJUA nin kinakuja next NI kukuwekea sumu ama atafute njia nyingine ya kukumaliza so be careful brother mpe ......
Nakupa tahathari hao majama asilina 90 ni wasani kwamfano mke wangu aliagiza mzigo toka kwao now ni mwezi wa 6 Unaenda ni sound 2 na ukikuta mkwell atakuletea mzigo kwell kwa bei rahisi ila transport fee inakuwa ni zaid ya bei ya mzigo ulio lipia co unajikuta umenunua kitu bei ya juuu zaid hata...
Acha upuz ww unazan unamuogopesha nn sasa walio kutuma wambie wajarbu njia nyingine telegrama ni secure for 99% mbona kipind kile walishindwa kupata information kitoka Jamiforum 2 tena ya hapa Tamzania je kwa Telegram wataweza yan kwel mnao penda ma2mbo yenu mpo wengi sana kwenye hii mchi we...
Sister jarbu kufuata uhitaj wa moyo wako coz anaye olewa n ww wala siyo dada yako au familiya yako itakayo teseka wakat ww unakula msoto,some time wanaume tunaweza kuwa wabahili ili kumpima mwanamke kama kwel anaupendo wakweli la kn hapo kwenye kwenye kukubebesha mimba ikatoka bahat mbaya bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.