Probox ni ngumu kuliko Wish. Nimeziona sehemu mbalimbali hasa mkoani Kigoma zikiwa ndio gari za kubebea mizigo kwenda magulioni,Pia nchini DRC ndio gari za mizigo na taxi. Zinabeba mizigo hatari na zinavumilia.Na Engine yake ni ndogo ukilinganisha na wish. Wish IPO kwa luxury zaidi.
Sent using...
Wewe utakuwa ni mfanyakazi wa Ewura.Ni kweli yako chini ya dola 1 kwa kiasi kdg sana.Inatakiwa yashuke sana.
Sisi huwezi kutulinganisha na Italy,France,UK nk ambao kwao mafuta yanazidi dola 1 kwa Lita.US na Canada yapo chini ya dola 1 na wapo vzr kiuchumi.Cc watu kibao tunaishi chini ya dola...
Mbao zilizopo Buguruni note hazilingani urefu kwa 100%.Zinatofautiana cm 1 hadi 3 na nyingine ni tofauti ya nusu cm.Sasa futi wanayopimia huwa imekatwa katikati na imeungwa kwa ustadi wa hali ya juu,sio rahisi kupaona,hiyo ni moja watu wanapopigwa.
Pili pale mbao inapopima wanaandika kwenye...
nickder,
Kama ulikaa miezi miwili ndio ukapima na kukutwa -ve, wala usiwe na wasiwasi. Wewe ni mzima.Miezi miwili inatosha KBS kujua unao au la kama ulitembea na demu huyo tu. Ila kama uligonga karibuni sana demu mwingine hapo ndio Shida kidogo. Hayo ya kuumwa umwa ni wasiwasi wako tu.Ni...
Upon Jirani na Central police station ya Kigoma.Panda magari yanayoenda Ujiji shukia kituo cha Hospitali ya mkoa.Ukifika hapo ulizia Central, baada ya Central police utauona kwa mbele.
Mimi nyumbani ni Uchira kwa kuzaliwa na asili yetu ni Ugweno.Umeme nimezaliwa nimekuta umeshafika Uchira tena miaka ya 80 au 70.Vijiji vya jirani ambacho ni Mabungo,Pumwani ndio Umeme umefika mwaka 2000.Stand ya Njia panda kwa kweli ni aibu tupu kama ilivyo ya Mwanga.Kiufupi mkoa wa Kilimanjaro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.