Recent content by Elisa Muhingo

  1. E

    Mbeya: Rose Mboma akamatwa na Polisi kwa kusambaza picha zenye Ujumbe "Nitamchagua Membe 2020"

    Kampein za uchaguzi zimeanza? Nani hawezi kumkamata mtu kama huyu? Ajifanye anajikuna tutamuona! Kuacha ufisadi kuchipuka! Nani asingependa kujua tshirt hiyo imetoka wapi na ziko ngapi etc. Siamini kuwa RPC kamwachia kwa shinikizo labda kama hafai. Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  2. E

    Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

    Mkuu wa wilaya ni mteule wa rais. Huyo ni mmoja kati ya wengi. Kukosa kwenda na vision hakuiondolei vision serikali ya kuwatetea wanyonge. Awe singled out yeye asaidiwe bila kigeneralise kuwa maDC wote hawana vision Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  3. E

    Mimi ni muathirika wa UKIMWI

    Pole sana kwa kipande kidogo cha maisha. Iweje, vyovyote ilivyo maana yake ni funzo kuwa tuwe makini katika maisha haya ya muda Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  4. E

    Hakuna makubaliano kwenye Mkutano wa Trump na Kim Jong Un

    Vikwazo vinasaidia nini? Kama imeweza kutengeneza mabomu hayo na vikwazo vikiwepo na taifa linadunda si heri kuviondoa?
  5. E

    Gaudensia Kabaka aeleza sababu za kuzuia Ujenzi wa Msikiti UDOM na kuhamisha wafanyakazi wa hapo

    3) isue si watu wa dini moja. Issue ni watu haokuonekana wanacolude kufanya uislam ktk mazingira yasiyo. Jiulize ilikiwajr kikapatikana kiwanja cha kujenga msikiti? Mbona kanisahapana?Iwrje msikiti ujengwr bila mhusika kujia kwa masna kaimu makamu mkuu wachuo? Je no vpincident su ni kwasababu...
  6. E

    Gaudensia Kabaka aeleza sababu za kuzuia Ujenzi wa Msikiti UDOM na kuhamisha wafanyakazi wa hapo

    1) Kwa kuwa hawakwenda chuoni kusali bali kusoma. Na kwa kuwa kusali si interest ya chuo. Na kwa kuwa kumeonekana kuna shida, basi ni juuya waumini kujipanga wakatafuta pahala nje ya mipaka ya chuo wakajenga nyumba za ibada. Ukianza kitumia mali za taasisi kuondoa inconveniencies za ibada ya...
  7. E

    Zitto Kabwe: Spika wa Bunge hana mamlaka kisheria kumwita CAG Kamati ya Maadili

    What was not expected of you Zitto? You are talking of the bunge that called Makonda last time with your support. Now you stand with a man who was on private visit in the States and talken such. That man in Tanzania he is CAG. Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  8. E

    Uzinduzi barabara Kimara-Kibaha: Rais Magufuli asema hakuna atakayelipwa fedha za fidia kwa kubomolewa nyumba

    Mimi nilisikia akisema "waliojenga ndani ya maeneo ya hifadhiya barahawatafidiwa". Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  9. E

    Rais Magufuli, please don't bow down kwa hawa mabeberu wa US na EU, waeleze Tanzania ni nchi, a sovereign state

    Naipenda kawaida ya JPM. Atakaa kimya, siku akifyatuka wasipomtafsiri watapiga makofi. Tukazane kuzalisha, kukusanya kosi, watashtukia inapita budget isiyoomba omba. Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  10. E

    Paul Kagame ashutumu nchi za EAC kwa kuua na kutesa watu wake. Tanzania tusikubali ageuze pori la Burigi malalio yake

    Kagame ni rais bora. Kagame rais mbovu. Jinsi bora ya kuishi naye ni kumuwia mpole na kumuwia gangwe. Kinyume chake ni balaa. Anakaamini kakundi kake ka mgambo. Na sura za binti zake. Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  11. E

    Yusuf Manji kuhamishia biashara zake zote nchini Zambia

    Kama ni kweli kuna mambo ya kutafakari. Paka si kama mbwa. Yeye kwao ni kwenye chakula kikiisha anahama. Kupunguza myanya na fursa za wachache kukandamiza wengi anatimka?!?! Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  12. E

    Kinachoendelea huko Kusini sio ununuzi wa korosho ni unyama na unyang'anyi dhidi ya wakulima pamoja na wafanyabiashara wa ndani wa zao la korosho

    Yaani kuna wakulima wanapeleka korosho sokoni lakini hawana mashamba walikovuna korosho? Kuna mtu anasema huo niunyanyaso? Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  13. E

    Giza nene linakuja Tanzania Punde. Tujiandae...!

    Lo! Ushauri wa ajabu. Unamlaumu Makonda kwa kukemea ushoga? Kwako watalii waje hata kama wanaharibu mila zetu? Balaa Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  14. E

    Ally Hapi, Anguko lako kisiasa umelitengeneza mwenyewe!

    Wanaudhi. Kuna mawili. Kuwafanyia kama alivyofanya Jaffo ili wajifunze. AU kuhakikisha wako nyuma ya mzoefu. Kuwatimua sio jema. Mkuu wa mkoa wa Dodoma awasimamie wa Iringa na mbeya. Wa Morogoro asimamie wa Dar nk. Wanapoelekea kustaafu "wanafunzi" watakuwa wamefuzu. Sent from my SM-G532F using...
Back
Top Bottom