Kwa hali iliyopo ss mihimili inayojitegemea kama Mahakama, bunge, hata police wetu wanafanya kazi kwa mashinikizo ya kisiasa hili si jambo la chadema wote twapaswa kuwa na sauti moja kukemea jambo hli
Kwenye afya ajira bado zipo mshahara pia si mbaya ila uwe na chachu ya kujiendeleza baada ya kuanza kazi clinical officer bado ni cheo cha chini sana hvyo utafanya kazi kwa mipaka
Kuwa chama cha upinzani ni nia thabiti toka moyoni ya kusaidia kukosoa taifa kulitoa hapa lilipo na si masilahi binafsi so kamanda mbowe endeleza mapambano wa Tanzania tupo nyuma yako
Akili yako fupi ww hujui kuwa mikutano ya hadhara imefutwa. Ccm hawana sera watasema nn milioni 50 kila kijiji kimya,katiba mpya, mikopo ya wanachuo, mishahara kwa wafanyakazi haijapanda hata annual increment mambo mengi ya msingi hakuna lililofanyika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.