msemaji ukweli umenena maneno kuntu kwa wapinzani namnawanavyowageuza watanzania kama chapati utasikia wanawaaminisha wananchi kuwa kiongoz fulani hafai na tunaushaid afu akihamia kwao wanasema ni mtu safi na hakuna ushaidi kuwa huyo mtu n fisadi .USHAURI WANGU NAOMBA WATANZANIA TUWE NA MSIMAMO...
jamani ni wiki sasa mafuta ya taa katika sheli mitaa ya Temeke hayapatikani kila sheli kunakibao kimeandikwa HAKUNA MAFUTA NJOO BADAE!! kila siku kibao kiko hivhv. sijui wanasubili tatehe za bei mpya!!!
jaman wafanyabiashara mtuonee hurumaa sisi sote ni waja wa mungu mmoja!!.
salary slip umesema kweli maana kama tuliambiwa lowassa ni fisad tukaamini afu walewale walio sema n fisad wakaibuka na kusema ni msafi tukaamini tena na kuanza kumtetea bila hata ya kuwa uliza kwann mwanzo walisema mwizi.. mm kwa hali hii naona Trump anatufaa sana ili unafiki na uchama utuishe...
pasco kuna mjomba ako katumbuliwa eti?!!
mbona hueleweki mbona nyie watu wanafiki sana!!
eti ukisikia kiongoz wa ukawa kaongerea kupungunguzwa mishahara minono na mashangingi mnasifu!!!!! ila akisema magu mnapinga!! kwa hali hii Trump anatufaa sana ili unafiki na uchama uishe
goody goody
hata dr slaa alipokuwa anahutubia moja ya chuo kikuu marekani alikataa misaada ya ajabuajabu na wana cdm tulimsifu kwa hilo
iweje leo tulilie misaada ya mcc kama sio unafki na uchama nin?!!!!!!!!
nani kapaniki tena!!!!!
misaada yenyew inatutia umasikn kwa mashart yao magumu!!
acheni kuwalilia watu wa magarbi hadi inafika hatua wanasema tufanye USHOGA afu bado unalilia misaada yao are you ok?!!!!!
viva magu tia masikn jeuri walitufanya shamba la bb
mleta mada nashukuru kama uyasemayo ni ya kweli!!!
viva magu viva viva mugabe afrika ni yetu tumepewa na allah!!
wasitufanye mazuzu hii ni karine nyngine!!
unasema twende mahakamani wakat chadema ndomliosema kua yy n fisad afu mkamsafisha wenyew kwa sabuni ya gwanji!!
cdm ndio mnamauzauza na tamaa hamna msimamo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.