Elimu kwanzaBM
Member
- Dec 30, 2015
- 24
- 6
jamani ni wiki sasa mafuta ya taa katika sheli mitaa ya Temeke hayapatikani kila sheli kunakibao kimeandikwa HAKUNA MAFUTA NJOO BADAE!! kila siku kibao kiko hivhv. sijui wanasubili tatehe za bei mpya!!!
jaman wafanyabiashara mtuonee hurumaa sisi sote ni waja wa mungu mmoja!!.
jaman wafanyabiashara mtuonee hurumaa sisi sote ni waja wa mungu mmoja!!.