Recent content by Elidan_denyo

  1. Elidan_denyo

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Afadhari maan hiyo server yao ni shidaaaa
  2. Elidan_denyo

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    mkuu huyu jamaaa ni muuza machungwa pale k/koo namjua sio mjeda hata. yani usijisumbue kumuelewesha sana maaana hana anachokijua khsu jeshi.
  3. Elidan_denyo

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Acha kudanganya mzee. hautakusaidia kitu
  4. Elidan_denyo

    Nashauri Jen. Venance Mabeyo asome kitabu "Army of None" cha Paul Scharre ili atuondolee aibu ya kubebesha magunia makomandoo kwenye sherehe za uhuru

    we ulitaka jwtz wafanye shoo za kumtisha nani.?? Au unafikiri wapo pale kwa ajili ya kutishiaa..?
  5. Elidan_denyo

    JWTZ mnatangaza ajira zenu lini?

    ivi kwa waliochukuliwa sasa ivi ni wanapiga kozi rts kihangaiko tu au na oljoro pia wapo..?
  6. Elidan_denyo

    JWTZ mnatangaza ajira zenu lini?

    Duuh.! kumbe walishachukua vijana kimya kimya co poa
  7. Elidan_denyo

    JWTZ ina vikosi vingapi?

    ok, nimekupata vyema man
  8. Elidan_denyo

    JWTZ ina vikosi vingapi?

    mmmh sio poa man. miez 18 unapiga kozi tu. na vip kuhusu hao makomando wanao fuga ndevu na rasta, ndani ya hao makomando nao wanakuwa na kikundi chao cha peke yao au inakuaje hapo.?
  9. Elidan_denyo

    JWTZ ina vikosi vingapi?

    mfano kama hao wahuni apo juu wameachia uchebe
  10. Elidan_denyo

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    duuh sio poa aisee
  11. Elidan_denyo

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    ni vizuri ukanyoa hiyo midevu kwa style ya kawaida tu ya kifaza au ukatoa kabisa. kuliko kuwapelekea hiyo midevu iliyojaa uso mzima. haita pendeza kimuonekano. kitu cha kwanza cha kuzingatia ni muonekano wako then mambo mngine.
  12. Elidan_denyo

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Daah asa itakuwaje..? watatuchukua uraian au ni vip.. atasielew
  13. Elidan_denyo

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    kwan wametoa tamko gani mpka sasa..?
  14. Elidan_denyo

    Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) kutoa Tamko Maalumu 30 Novemba, 2021

    tamko la ajira kwa vijana wanaopenda kujiunga na jwtz
Back
Top Bottom