JWTZ mnatangaza ajira zenu lini?

JWTZ mnatangaza ajira zenu lini?

Bro bakabaka halivaliwi kirahisi kama nguo ya mtumba unayokwenda pale Ilala kuchukua, sikukatishi tamaa ila mpaka kuja kuvaa bakabaka umeumia sana kwenye mafunzo na ikibidi hata kufa. Cha msingi hakikisha uko timamu kiafya huna tatizo lolote linalokusumbua,omba Mungu nafasi nikitoka apply ukibahatika nenda kafanye mafunzo ya awali, ukibahatika kutoboa six weeks wee umemaliza depo, subiri kupass out na kupangiwa kituo cha kazi.
Mkuu, naelewa , nilikuwa huko jkt, tena nilikuwa RP, mpaka pale RTS niliwahi kwenda , ila sikufanikiwa kupiga kozi, kwahyo show nzima naelewa.. najua baka baka, hulipati kirahisi..
 
Inawezekana hizi nafasi za jeshi watu walishaitwa kimya kimya,maana mchepuko wangu ananiambia kuwa kaka yake amekimbia/ametoroka kwenye mafunzo ya JWTZ huko tanga tarehe 4/1/2022 na amefikia kwa ndugu yake aliyepo DSM akiwa hoi.Baba wa mchepuko wangu ni mwanajeshi mwenye cheo hivyo alimfanyia mpango mwanae huyo ili naye avae baka baka kama yeye
 
Inawezekana hizi nafasi za jeshi watu walishaitwa kimya kimya,maana mchepuko wangu ananiambia kuwa kaka yake amekimbia/ametoroka kwenye mafunzo ya JWTZ huko tanga tarehe 4/1/2022 na amefikia kwa ndugu yake aliyepo DSM akiwa hoi.Baba wa mchepuko wangu ni mwanajeshi mwenye cheo hivyo alimfanyia mpango mwanae huyo ili naye avae baka baka kama yeye

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....seriously.???
 
Kwanza niwapongeze kwa kazi nzuri sana mnayofanya, kwangu nyie ndo taasisi bora zaidi Tanzania hii.

Nikija kwenye mada, lini mtatangaza ajira ?

Mwaka uliopita 2021 walianza Polisi, wakaja Magereza, kisha Uhamiaji na mwisho Zimamoto.
Mwaka huu (2022) mwanzoni Uhamiaji wakatangaza tena.

Kulikoni JWTZ? Mbona kimya.

Kwa unyenyekevu kabisa naomba kuwajulisha kuwa kuna vijana wengi mtaani katika makundi tofautitofauti ambao wanasifa za kujiunga na jeshi.

1. Wapo ambao wamemaliza kidato cha nne ambao hawajabahatika kwenda JKT ila sifa zote wanazo.

2. Wapo waliomaliza kidato cha sita ila hawakubahatika kuchaguliwa jkt kwa mujibu wa sheria kwa sababu ya ukosefu wa nafasi makambini ila wana sifa na moyo wa kulitumikia jeshi letu.

3. Mwisho ni kundi la wasomi wa ngazi ya shahada/ stashahada nk ambao baada ya kuhitimu masomo yao wangependa kujiunga na jeshi.

4. Walioenda jkt kisha muda wao ukaisha wakarudi mtaani.

Kukaa kwenu kimya ni kuyanyima makundi yote hayo fursa.

Pamoja na kwamba kuna vijana kwenye kambi mbalimbali za JKT, vijana walio mtaani nao wana haki na ndo wengi zaidi.

Tangazeni ajira kisha iwepo free and fair competition.

Hata hivyo kama utaratibu wenu wa ajira umebadila muujulishe uma kuliko kukaa kimya.

Jenerali Venance Mabeyo na timu yako naamini kuwa nyie ni weledi na mtalifanyia kazi hili.
Hivi tunavyoongea nikwamba tayar vijana washachukuliwa mwaka huu kwenda kupiga kozi ya tpdf, wao wamechukua vijana mojakwamoja kutoka vikosi vyoote vya jkt, na wale walojenga ikuru wamesepa ko saiz wanatumikia uzarendo tu, ko ionafasi ishakupita
 
Hivi tunavyoongea nikwamba tayar vijana washachukuliwa mwaka huu kwenda kupiga kozi ya tpdf, wao wamechukua vijana mojakwamoja kutoka vikosi vyoote vya jkt, na wale walojenga ikuru wamesepa ko saiz wanatumikia uzarendo tu, ko ionafasi ishakupita
Duuh.! kumbe walishachukua vijana kimya kimya co poa
 
Inawezekana hizi nafasi za jeshi watu walishaitwa kimya kimya,maana mchepuko wangu ananiambia kuwa kaka yake amekimbia/ametoroka kwenye mafunzo ya JWTZ huko tanga tarehe 4/1/2022 na amefikia kwa ndugu yake aliyepo DSM akiwa hoi.Baba wa mchepuko wangu ni mwanajeshi mwenye cheo hivyo alimfanyia mpango mwanae huyo ili naye avae baka baka kama yeye
Mambo yanaenda kwa michongo sio
 
Inawezekana hizi nafasi za jeshi watu walishaitwa kimya kimya,maana mchepuko wangu ananiambia kuwa kaka yake amekimbia/ametoroka kwenye mafunzo ya JWTZ huko tanga tarehe 4/1/2022 na amefikia kwa ndugu yake aliyepo DSM akiwa hoi.Baba wa mchepuko wangu ni mwanajeshi mwenye cheo hivyo alimfanyia mpango mwanae huyo ili naye avae baka baka kama yeye
[/QUOkamb
Huo ndo ukwel JW usaili wao wamefanyia kwny makambi ya jkt
 
Back
Top Bottom