Recent content by eliasmushi

  1. eliasmushi

    IMF: Kuna viashiria uchumi wa Tanzania unaendelea kushuka

    Hadi sasa sijaona comments za viwavijeshi [emoji23][emoji23] Wanachungulia wanapita, ingekua thread ya, "chadema inakufa" wangejaa hapa[emoji23]
  2. eliasmushi

    Ridhiwani umeshindwa kumuita Mh. Rais Dr. J Magufuli?

    Ujapata mteja had leo!! Nauza ID yangu ya "Mudawote"
  3. eliasmushi

    Mkoa wa Kilimanjaro watangaza rasmi kuwa na uhaba mkubwa wa Chakula

    achaa unaaaa njoo uone hali halisi migomba inanyauka hamna mvua,kilimo cha umwagiliaji maji hayatoshi.
  4. eliasmushi

    Haters watasema ni photoshoped

    dah hii picha imenikumbusha ile helicopter made in mbeya iliruka kwa Msaada wa photo shop
  5. eliasmushi

    Bae nipe mimba☺

  6. eliasmushi

    Leo kila mtu ataje majina ya wapenzi wake hapa

    Duh!wewe ni nomaaa,msururu wote huo!Ningependa na mimi niwe na idadi hii ila nikiombwa hela za saloon lazima ntaanguka kwa presha[emoji23]
  7. eliasmushi

    Kwanini uamuzi wa ndoa ni mgumu kwa mwanaume?

    Asante kwa ushauri ila kuna vitu vya muhim zaid ya kuoa.
Back
Top Bottom