Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 958
Pole aggy, hizo ndizo changamoto za kwenye jukwaa ila mo anakuchemsha tu.aya ya kwanza sababu najijua nko kundi gani..najijua mi ni nani so nimeongea ukweli
kujisifia dhambi?
nlitaka kuonyesha sio upande wa wanaume tu ndo wana malalamiko hayo.hata sisi wanawake pia
ila MO sipendi uchochezi wako.kila ntapocomment unanichokonoa..sipendi ujue
sijaolewa sababu sijapata anaejielewa