Recent content by Elias Manyasi

  1. Elias Manyasi

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu gari aina ya Subaru Legacy

    Bro Subaru itakusumbua spare zake gharama. Baki kwenye Toyota Mzee, Bora umiliki hata premio
  2. Elias Manyasi

    JamiiForums Tanzania Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

    Na kinachouma zaidi unakuta ww hupewi Ila kuna mhuni huko anapewa Kwa style zote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], watu wanapiga kihunii sisi ndani tunapiga kistaarabu.
  3. Elias Manyasi

    JamiiForums Tanzania Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji23]mbona unakua mkali Mzee unaongea Kwa hisia Sana! Sijarhibitisha Hilo Kwa manzi ako, nmeliongelea Kwa upana Tu zaidi
  4. Elias Manyasi

    JamiiForums Tanzania Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

    Ok, nachomaanisha ni kwamba, kama unawala tigo wanawake ucokua na future nao na ukaona kawaid Tu bas usiumie ukija kupata background ya mpenz wako au mkeo alifanywa hivo pia na mwanaume mwengn Kwa maana hat ww ulimfanya mwanamke wa mwenzako na wala hukujali
  5. Elias Manyasi

    JamiiForums Tanzania Mama Siti hapa ni wapi Kweli?

    Ahahahah! Utaenjoy Sana endapo ukiwa umemzidi mpenz wako vitu vingi vya msingi. Kukuzid au ukiwa nae Sawa huleta ukakasi sometimes.
  6. Elias Manyasi

    JamiiForums Tanzania Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

    Well said, lakini wewe unaeumia kuwa demu wako alikua anatoa Kwa mpalange kumbuka na wewe unawafanya hivo wadada usiokuwa na future nao, muosha huoshwa! Ukiwa na tabia za Kula vya watu au wake za watu basi jua na wewe utaliwa Tu ili uone inavouma.
  7. Elias Manyasi

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila aanza kunena kwa lugha

    Yajayo yanafurahisha! Wanajisogeza taratibu kuendana na upepo!
  8. Elias Manyasi

    JamiiForums Tanzania Kwanini mkono/mguu wa kulia una nguvu na wa kushoto hauna?

    Mmh sio kwamba inategemea na mkono/mguu gani unaoutumia zaidi!? Mfano mm ni right footed na ndio wenye nguvu Sana. Ndivyo hvyo Kwa left footed
  9. Elias Manyasi

    JamiiForums Tanzania Nina dhumuni na nia thabiti kujiingiza kwenye kilimo biashara

    Habari, Nina dhumuni na nia thabiti kujiingiza kwenye kilimo biashara! Bado ni mgeni kwenye hii sekta, kwa haraka nimepata wazo la kulima Matikiti Maji. Je, ni zao sahihi na lenye faida kwa sasa!? Kipi cha kuzingatia!? Changamoto zake? Ahsanteni na mbarikiwe.
Back
Top Bottom