Profession : Public health
Education: HSM, Msc-HSM, MPH & MPH- Disaster
Experience: 12 years
Looking for consultations opportunities- Public health, sexual reproductive health , gender & digital health, research and data analysis
Hapo unazungumzia mapungufu ya waumini sio msimamo wa Kanisa. Kila dhehebu inapitia changamoto nyingi sana kwenye hii dunia. Mfano muumini anapo Amua kufanya jambo baya la kuibisha Kanisa lake haimaanishi kuwa dini yake imekubaliana naye au imebadirisha misingi yake. Mfano mzuri Diamond platnumz...
Habari za Asubuh wanaJF?
Ngoja niende moja kwa moja kwenye topic yangu ya leo.
Sisi majob seeker leo tumekutana hapa posta mpya tukawa tunapiga story za hapaa na pale kuhusu ajira za ubalozini.
Niko mbele yenu kuuliza hivi kunafaida kubwa sana kufanya kazi kwenye ubalozi kuliko kwenye...
Hyo ya finger print tayari ameshafanya tena ameenda kule morning police hq kinachobaki ndo hyo security interview tu Mkuu. Ndo nataka kufahamu ni interview ya namna gan
Habari za Jioni wana JF,
Moja Kwa moja Naomba niende kwenye mada yangu napenda kufahamu kitu flani hvi- Kuna jamaa angu aliomba kazi US- Embassy hapa DSM na akafanya usaili wa kingereza akapita, akafanya usahili wa kazi yenyewe nayo ameonekana kupita maana ameshakabidhiwa conditional offer...
Habari Ndugu zangu wa JF,
Leo natamani sana tushare changamoto Za kupata scholarship Kwa vijana wa Kitanzania.
Mim nmekuwa muhanga Kwa muda mrefu wa kutafuta scholarship ili niweze kusoma katika nchi Za Bara la Ulaya na Marekani. Naweza kusema ni Kwel Ndoto yangu imetimiaaa ila nmepata msoto...
Mwana jiji liko poa kabsa. Toto Za kumwaga aisee. Beach Za kutosha, people are so friendly though sio wengi wanaongea kingereza ila hakishindikan kitu. Karibu sana Rio de Janeiro.
Habari za Jioni ndugu zangu FB
Ngoja niende moja Kwa moja kwenye point, wiki iliyopitaa nimeweza pata kufka kwenye Jiji maarufu huku Latin America la Rio de Janeiro.
Niko kikaz kidogo ila nitataman kukutana na watanzania waishio katika jiji hili tupge story mbili tatu na kufahamiana zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.