Recent content by eleuter

  1. E

    Msaada Uhamiaji!

    Acha izo wew mi nipo wizara moja na uhamiaji mshahara wote coplo na constable ni chini ya laki 600000 nipm nikwambie mishahara halis kama unataka inatofautiana kidogo sanaaa
  2. E

    Udom: Tabia ya kuwaongezea coursework wanafunzi waliofeli inakatisha tamaa

    Wew kama ulidisco udsm sikuelewe huna jipya hata huko utadisco tu hata ukiongezewa maksi! None sense indid
  3. E

    Kwanini wanajeshi wetu hadi leo wanatofautiana katika kulipwa posho ya chakula(resheni)?

    Yaan huna hoja wala point! Huna hata chembe ya aidia ya jeshi! No point no write to speak!..:confused:
  4. E

    Trafiki polisi wa kike Linda Okelo sasa apewa onyo la mwisho kuvaa sketi fupi

    Jaman so mtanzania huyo mtoa taarifa w nchi nchi gan huyo
  5. E

    Traffic Na Rushwa Sinza Mapambano

    Mbona unatudanganya wew ulizia waliojaribu kujifanya wanapiga picha wakaonwa walichofanywa,,, uongo mtupu! Yaan trafic aogope picha! Jaribu siku moja! Utakuja kuandika humu ndan kitachokukuta!
  6. E

    Nina miaka 36, niko ndani ya ndoa mwaka wa 9, nina watoto 2- sijatahiliwa.

    Acha mazoea ndugu! Nan kakwambia hayo makabila hawafanyi tohara! Historia na tamadun hubadilika mshauri ndugu yetu ndagafijo kwa busara bila kutoa mifano ambayo haina uhalisia!
  7. E

    Dokta please usicheke!

    Hako noma kanapekecha kama bisibis ooooh
  8. E

    Hii pozi imekaaje jamani?

    Acha kupoteza muda
  9. E

    Mafuriko na mjeshi wa Somalia!

    Hiyo siyo AK47 ni G3
  10. E

    Mafuriko na mjeshi wa Somalia!

    Hiyo siyo AK47 inaitwa G3
  11. E

    Huyu houseboy simuelewi jamani

    Wew mwenyewe unamnyanyapaa huyo houseboy wenu! Unajiona wa mjin halafu mataw ya juu! "Hana hadhi" Sidhan kama mtaendelea kumkarimu huyo jamaa had hurum! But story imekaa kikusadikika vile!
  12. E

    Wizi wafanyao polisi kituoni, wapi kwa kulalamika?

    Achen majungu kwa jeshi letu yasiyokuwa na uthibitisho!
  13. E

    Vigezo hamna mnataka kazi mtasubiri sana umri nao ndio huo hausubiri

    Wew huna lolote! Nan aliyekupatia kaz wew! Et unawafanyia usahili! Wew kwa akili ip uliyonayo ... huna lolote+ hamnazo
  14. E

    Kashfa nyingine jeshi la polisi

    Yaaan raia mwema unashindwa kutueleza kwamba mpaka kapigwa alikosa nn mmekazana tu amepigwa! Mbona askar wanauliwa kwenye thread hamuandiki sadness! What hell! Polis nao ni watu kama wew amekuzid tu proffesional ya upolis tu,,,
Back
Top Bottom