Acha izo wew mi nipo wizara moja na uhamiaji mshahara wote coplo na constable ni chini ya laki 600000 nipm nikwambie mishahara halis kama unataka inatofautiana kidogo sanaaa
Acha mazoea ndugu! Nan kakwambia hayo makabila hawafanyi tohara! Historia na tamadun hubadilika mshauri ndugu yetu ndagafijo kwa busara bila kutoa mifano ambayo haina uhalisia!
Wew mwenyewe unamnyanyapaa huyo houseboy wenu! Unajiona wa mjin halafu mataw ya juu! "Hana hadhi" Sidhan kama mtaendelea kumkarimu huyo jamaa had hurum! But story imekaa kikusadikika vile!
Yaaan raia mwema unashindwa kutueleza kwamba mpaka kapigwa alikosa nn mmekazana tu amepigwa! Mbona askar wanauliwa kwenye thread hamuandiki sadness! What hell! Polis nao ni watu kama wew amekuzid tu proffesional ya upolis tu,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.