Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
- Thread starter
- #21
Basi nina makengeza mi naona kipo ndani ya pua lol itabidi nikapime macho...
Basi nina makengeza mi naona kipo ndani ya pua lol itabidi nikapime macho...
kwahio ushavionja?chumvi chumvi kama vingine tu
kwahio ushavionja?
Aisee naona watu mnafunguka kweli mnaopenda kuchokoa pua lolVinaonjeka kama vingine tu
Basi nina makengeza mi naona kipo ndani ya pua lol itabidi nikapime macho...
Wee KakaJambazi,msemo wako huo umeshaniletea kichefuchefu kikali.