Ni swala la NDUGU KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI KUKAKAA PAMOJA MARA MOJA KWA MWAKA KWA AJILI YA KUIMARISHA UNDUGU NA KUBADILISHINA MAWAZO.
BIG UP KWA WACHAGGA!
SERIKALI SIKIVU ni SERIKALI inayojali na KUHESHIMU MAONI ya wananchi wake kupitia media mbalimbali mojawapo ni JAMII FORUM.
Kwa hili ni dhahiri kwamba SERIKALI HII INAKIUKA MISINGI YA DEMOKRASIA NA HAKI ZA BINAADAMU.
Kuna msemo unaotukumbusha kuwa, " BILA HAKI HAKUNA AMANI"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.