Eti hawa ndo vijana wasomi wa ccm seriously kbs halafu utegemee hawa ndo washindane na vijana wa chadema kweli...
Ndo maana sishangai chadema kuwa na mawakili wa moto sn na viongozi wajenga hoja nzito kuliko huko ccm na serikali yake
Bora wanaoomba wakapewa kuliko majizi ya tozo, kodi na mikopo toka nje ya nchi wakati maji tu yamewashinda tena kwenye mikoa iliyo na ziwa hakuna zaidi ya miaka 60 ya uhuru
Kumbe china ana siraha bora hivyo bt ameshndwa kukanyaga taiwan, cha ajabu china anaiba tech ya mrusi ya ndege vita na anatumia injini za ndege vita za urusi. Ajabu china na urusi huwa inawachukua miaka mingi sn kujbu au kutengeneza ndege vita inayokuwa imetengenezwa na marekani sasa kataa hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.