kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 3,242
- 4,794
Mmoja wapo ni huyu mwenye huu uzi bila shakaMbona wapo, wanavaa kijani sikuizi
Mmoja wapo ni huyu mwenye huu uzi bila shakaMbona wapo, wanavaa kijani sikuizi
wewe ni mpumbavu chama kilicho nyonya wananchi miaka 60 na kuwaacha wakiwa hawana kitu ni CCM lakini hamsemi ila michango ya hiari ya mia 5 ya chadema ndio mnaleta kimdomo.Kila shughuli wanatangaza mchango kutoka Kwa wananchi.Hiki kimekuwa chama Cha kinyonyaji ruzuku mnapata kwa Nini msitumie kwenye shughuli za kujenga chama.Kila wakati ninyi ni kuombaomba kwa wananchi imekuwa too much.
Vyama viko vingi lakini sijaona wakiombaomba kila wakati.Mbayq zaidi fedha zinazokusanywa hazieleweki zinatumika vipi.
Huu ni upigaji kama upigaji mwingine .Mlimsema chama kinapokea fedha nyingi za ruzuku Sasa hiyo ruzuku imeenda wapi?Acheni utapeli wa kisiasa
Masikini na mpumbavu ni wewe unayeandamana mtatandaoni mkamtoe mwenyekiti wenu kwa maandamano kama kweli mnajua kukinukisha.wewe ni mpumbavu chama kilicho nyonya wananchi miaka 60 na kuwaacha wakiwa hawana kitu ni CCM lakini hamsemi ila michango ya hiari ya mia 5 ya chadema ndio mnaleta kimdomo.
Kwa akili zenu hizi mtakuwa maskini mpaka mwisho wa Dunia.
Napita tuWanachukua mifukoni kwa lazima? Au wananchi wanachanga wenyewe kwa hiari yao?
Tarehe 22 Dec 2014Kila shughuli wanatangaza mchango kutoka Kwa wananchi.Hiki kimekuwa chama Cha kinyonyaji ruzuku mnapata kwa Nini msitumie kwenye shughuli za kujenga chama.Kila wakati ninyi ni kuombaomba kwa wananchi imekuwa too much.
Vyama viko vingi lakini sijaona wakiombaomba kila wakati.Mbayq zaidi fedha zinazokusanywa hazieleweki zinatumika vipi.
Huu ni upigaji kama upigaji mwingine .Mlimsema chama kinapokea fedha nyingi za ruzuku Sasa hiyo ruzuku imeenda wapi?Acheni utapeli wa kisiasa
Kwani matapeli huwa wanalazimisha watu kutoa pesa zao mfukoni?Wanachukua mifukoni kwa lazima? Au wananchi wanachanga wenyewe kwa hiari yao?
Hata watumishi wa mungu hawachukui mfukoni kwa lazima ila wanawaibia kwa imani na wamewa brainwash vichwani kama ambavyo wafuasi wa Lissu walivyokuwa brainwashed, huo ni wizi kabisa!Wanachukua mifukoni kwa lazima? Au wananchi wanachanga wenyewe kwa hiari yao?
Kijana kazoea kunyonywa azi holi spirit sasa kaona aunge juhudi tuKwani matapeli huwa wanalazimisha watu kutoa pesa zao mfukoni?
Acha hiyo mambo japo kuwa na uwezo wa kutofautisha nani nyonyaji wa mlalahoi mtanzania achana na wala kwa urefu wa kamba na machawa.Enzi hizi sii za kuwadanganya watu elimu zinatolewa zikishindwa za kayumba zipo zile za no reform no election nazo zina ondosha ujinga,upumbavu na umbumbumbu na hata uchawa.Kila shughuli wanatangaza mchango kutoka Kwa wananchi.Hiki kimekuwa chama Cha kinyonyaji ruzuku mnapata kwa Nini msitumie kwenye shughuli za kujenga chama.Kila wakati ninyi ni kuombaomba kwa wananchi imekuwa too much.
Vyama viko vingi lakini sijaona wakiombaomba kila wakati.Mbayq zaidi fedha zinazokusanywa hazieleweki zinatumika vipi.
Huu ni upigaji kama upigaji mwingine .Mlimsema chama kinapokea fedha nyingi za ruzuku Sasa hiyo ruzuku imeenda wapi?Acheni utapeli wa kisiasa
Mno sisiemi ni viazi wa mwishoHii nchi imejaa vilaza sana