We boya kila uzi nakuona na matapishi yako, mnalipwa bei gani huko lumumba, nitumie namba yako niwe nakuchangia hata buku 10 kwa siku masikini mkubwa wewe
Kitu Cha kuchekesha zaidi kuhusu hii mijadala ni kwamba watu wa dini zote tena zinazokinzana huungana na kumshambulia Atheist kwa Hoja zilezile za kizamani zisizokua na Mashiko yoyote Wala facts
Wanasahau kuwa hata wao wenyewe wanapingana
Assume Sasa Atheist kaamua kukubali Sasa kuwa Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.