Recent content by egm0

  1. E

    Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

    Mambo, niko hapa kwa ajili yako
  2. E

    MREJESHO: Simuelewi mume wangu

    Aisee pole sana, jaribu pia kua unamshawishi mara kwa mara
  3. E

    Mpango wa kujenga nyumba kwa kuhifadhi mahitaji kwanza

    Hii ni moja ya njia nzuri sana ya utekelezaji wa ujenzi hasa kwa mtu ambaye kipato chake sio kikubwa, na pia kama umepata kiasi cha fedha kwa mkupuo. Inasaidia sana , wengine huwa wants wanasema unajenga nyumba ikiwa chini, binafsi ilinisaidia sana njia hii. Ukishapata wazo la ramani ya nyumba...
  4. E

    Anahitajika mfanyakazi wa stationery

    Atume cv kwenye iyo namba
  5. E

    Anahitajika mfanyakazi wa stationery

    Nafasi ipo moja
  6. E

    Anahitajika mfanyakazi wa stationery

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, anahitajika mfanyakaz mwenye uzoefu na kazi za stationery ikiwemo matumizi ya Computer na graphics design ambae atakua tayari kufanya kazi ndani ya mkoa wa Dar es salaam. Women are highly encouraged to apply. Send you resume/cv to 0765600846 WhatsApp
  7. E

    Kujenga au kufungua biashara nyingine kipi nianze nacho?

    Biashara gani hiyo mkuu, hebu funguka
  8. E

    Wadau wa umwagiliaji ipi ni aina bora ya water pump?

    Honda mkuu, ukipata iyo safi
  9. E

    Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

    Gharama zako zikoje
  10. E

    Wapi ntapata madirisha ya gril used milango ya chuma used

    Mkuu ukipata naomba unitag Sent using Jamii Forums mobile app
  11. E

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Mkuu ukipata naomba unitag Sent using Jamii Forums mobile app
  12. E

    Barua yangu ya kutaka kulipwa mafao ya mirathi imepokelewa Julai hapo PSSSF lakini mpaka leo Oktoba haijafika kwa Mhusika

    Pole sana Mkuu, kiukweli inaonekana kuna shida nfani ya psssf hasa kwenye swala zima la ku handle documents na kuzifanyia kazi Sent using Jamii Forums mobile app
  13. E

    Nipeni ushauri: Mdogo wetu wa kuasili anataka mali zote zilizoachwa na wazazi kwa kisingizio cha kuwa mtoto pekee wa kiume

    Duuh poleni,...inabidi wote mfanye DNA tests kabla ya mchakato wa kufungua mirathi
  14. E

    Tecno Camon 11

    Bei Tsh. 250,000/= Contact 0659734925 Dar es salaam
Back
Top Bottom