Wapi ntapata madirisha ya gril used milango ya chuma used

Wapi ntapata madirisha ya gril used milango ya chuma used

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,100
Reaction score
4,080
Wana jamiii kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu kuwa nahitaji madirisha used ambayo yapo katika hali nzuri pamoja na milango ya chuma pia used ambayo iko katika hali nzuri.location DSM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ukipata naomba unitag

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo bidhaa, zinapatikana maeneo mengi Dar, inategemea unaishi wapi. Mbezi mwisho, polisi ya zamani uliza jenga nafuu, ila wako wengi.
Kimara Suka uliza uliza bidhaa zipo.

Kimara karibu na kituo cha mwendo kasi ukitokea mbezi bidhaa zipo.
Manzese toka darajani kuelekea barabara ile ya Sweet Coner uswa wa makaburini pale bidhaa zipo ni wewe tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom