Ukweli ni kwamba hii hali ya kumzoeza hivi vitu hujenga mazoea,maisha haya ya kuiga hayafai sababu maisha yanapanda na kushuka itafikia kipindi huna na binti ndo kakua na anahitaji huo urembo je,unadhani akitokea mtu wa kumpendezesha (fataki) atakataaa? Wazazi tuepuke njia mbovu za kumjengea...
Kwann? labda kuna sababu muhimu ya kuwakataza wanasheria wasijitangaze??? Je,nyinyi wanasheria mnalichukuliaje hilo mmeridhia? Na ipo kwenye sheria kwamba hamruhusiwi kufanya matangazo. Bhasi kazi yenu haina uhalali kwann mfanye kwa kificho? Hayo ni maswali yangu tu.
Mtu aliyeelimika hawi hivyo brother ingekuwa hivyoo hata dr.akienda hospital kutibiwa na dr.mwenzie wangekuwa wanaambiana wakasome.inaonyesha nikiasi gani una i.q ndogo sanaa.ni bora ukatoa maelezo ili uonekane ni msomi utoe na reference yasehemu uliyosoma hapo ndo tutakuona ww msomi. Badilika...
Naomba kujua hili kisheria because nimeachishwa kazi sasa nahitaji kudai fidia zangu kupitia mahakama. Nilipoenda kwenye chama cha wafanyakazi ili kuanza process za kufungua mashtaka nilihitaji kudai muda wangu wa ziada sababu tangu nianze kazi huwa nafanya masaa 48 kwa week badala ya 45.
Sasa...
Kuna power bank za PUKU zina mah 8000 ni nzuri kwa kweli na inauwezo Wa kucharge smartphone Mara 3 zaidi na moja ya maelezo yake usiitumie ukiwa umeiconnect kwenye charge!
Maelezo ya hiyo picture ya Dada aliyeungua yalikuwa yanasema ''alikua anatumia power bank huku umeiconnect kwenye umeme"
Kwenye hili naweza kusema katika mapenzi yao kulikuwa Hamna uaminifu....kwamba mwanamke anafanya tendo hilo katika hali ya usalama,i mean mwanaume alijiswafisha nyeti zake na je mwanamke kadharika katika kila siku wafanyapo oral sex....pia kama mke alikuwa akivunja uaminifu na kunyonya nje.
Kama...
Kiukweli wanawake wengi wanatoa huu ni ukweli ambao wanaukataa...ndo maana kuna mkuu mmoja Amesema ukitaka kuwajua wanawake akili zao na mambo yaliyo mioyoni mwao kuwa mwanamke Kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.