Power Bank: Nini muhimu cha kuzingatia?

Power Bank: Nini muhimu cha kuzingatia?

Pia kuna powerbank nyingi sana clone za Samsung,phillips... Powerbank ni nyepesi kuliko maelezo. Ninaweza kusema uzito wa powerbank pia unaelezea idadi ya cell zilizopo kwenye battery, hata kama wametumia battery za LiPoly bado powerbank haiwezi kuwa nyepesi saaana na wakati wameandika 20,000mAh. Unaweza kuTest uzito wa powerbank kabla ya kununua.
 
Chief-Mkwawa ymollel nina 50k nataka powerbank original..... Ninaweza kupata wapi na labda itakuwa na ujazo gani (mAh). Nipo dar es saalam.
Nataka nikachukue kwa kesho


Msaada tafadhali.

Thanks
 
Last edited by a moderator:
Powerbank clone zinazidi kuua battery la simu yako, itafika kipindi battery la simu yako litakua halikai na chaji kabisa, kiasi kwamba uliwa umeconnect kwenye umeme unatumia na umeme ukakatika, inazima simu yako kabla ya taa.
 
Chief-Mkwawa ymollel nina 50k nataka powerbank original..... Ninaweza kupata wapi na labda itakuwa na ujazo gani (mAh). Nipo dar es saalam.
Nataka nikachukue kwa kesho


Msaada tafadhali.

Thanks

Hapa inabidi kwanza ununue kwa muuzaji wa kuaminika. ukisema uangalie jina au Power yake, bado unaweza kuuziwa yenye Ratings Fake. kama nilivyosema kabla mimi nikishika powerbank kwa uzito tu naweza kuhisi kama ni fake. kwa hiyo 50k, atleast iwe na power kuanzia 5200mAh
 
oyaaaaa mzee hiyo simu yenye battery 6 naiitaji kwa kazi zsngu
 
Problem ni ku over charge,

Kama unahisi utakuwa un lala,au unataka kwendambali kidgo zima switch hadi ukiwa umeamka au kuwa karbu.

Lakin piausitumie device (simu) huku unachaji..

Au usicharge power bank, then huku inachajiwa unaanza kuchaji na na simu tena hapana...

Power bank

Nyingine zina maelezo

Zima simu yako unapotaka kuichaji.

Unaweza kuiwasha baada ya dakika tano.Lakin kwa ushauri usiutumie hata kama ikiita toa kwenye power bank then pokea.

Usilale karbu na vifaa bya umeme.


Usiiweke simu mfukon kama unaichaji au kuishika mkononi.Weka sehem ambayo ni rafiki na pasiwe joto kali.Laki nizaidi usiweke power bank karbu na simu vitenganishe wakati vikiwa vinachajiwa ili hata kimoja kikilipuka,kisibabishe na kingine vile vile kulipuka
 
Hapa inabidi kwanza ununue kwa muuzaji wa kuaminika. ukisema uangalie jina au Power yake, bado unaweza kuuziwa yenye Ratings Fake. kama nilivyosema kabla mimi nikishika powerbank kwa uzito tu naweza kuhisi kama ni fake. kwa hiyo 50k, atleast iwe na power kuanzia 5200mAh

Nitajie maduka. Mkuu
 
Chief-Mkwawa ymollel nina 50k nataka powerbank original..... Ninaweza kupata wapi na labda itakuwa na ujazo gani (mAh). Nipo dar es saalam.
Nataka nikachukue kwa kesho


Msaada tafadhali.

Thanks
sidhan hata kama utapata power bank nzur. sijawah ona even za xiaomi zinazokuja hapa bongo ni zile fake zake.
 
Last edited by a moderator:
Kuna power bank za PUKU zina mah 8000 ni nzuri kwa kweli na inauwezo Wa kucharge smartphone Mara 3 zaidi na moja ya maelezo yake usiitumie ukiwa umeiconnect kwenye charge!
Maelezo ya hiyo picture ya Dada aliyeungua yalikuwa yanasema ''alikua anatumia power bank huku umeiconnect kwenye umeme"
 
Power bank ya PUKU
 

Attachments

  • 1435578603114.jpg
    1435578603114.jpg
    27.7 KB · Views: 167
Wazee hii power bank ilikuwa connected na Ac source au? mana nikicheki output yake apo ni let say maximum kabisa ni 6V japo nyingi ni 5V tua assume hio ilimlipua mdada ni 6V current apo ilukuwa 3000mA ambayo ni 0.3A nikisema 3000mA ni storage yake for a hour kama betri yako ina take 1000mAh ita charge mara 3 sasa chukua 5V voltage zidisha na 0.3A ambayo ni full storage output utapata 1.5W sasa one watt ni littlr kusababisha death even you could not detect if you touch it na iyo 1.5W ni full storage na hapo kwa E.m.f ya 5V current ilikuwa 550mA kumuua mtu ni impossible kabisa then io power bank output yake ni DC yani haingii akili kuleta fault...Punguzeni kutisha watu
 
Wazee hii power bank ilikuwa connected na Ac source au? mana nikicheki output yake apo ni let say maximum kabisa ni 6V japo nyingi ni 5V tua assume hio ilimlipua mdada ni 6V current apo ilukuwa 3000mA ambayo ni 0.3A nikisema 3000mA ni storage yake for a hour kama betri yako ina take 1000mAh ita charge mara 3 sasa chukua 5V voltage zidisha na 0.3A ambayo ni full storage output utapata 1.5W sasa one watt ni littlr kusababisha death even you could not detect if you touch it na iyo 1.5W ni full storage na hapo kwa E.m.f ya 5V current ilikuwa 550mA kumuua mtu ni impossible kabisa then io power bank output yake ni DC yani haingii akili kuleta fault...Punguzeni kutisha watu

Hawafi kwa kutetemeshwa na umeme wanakufa kwa mlipuko. Case za kulipuka kwa battery zipo nyingi si tanzania tu hadi huko ughaibuni.

Pia charger za siku hizi zinatoa 2A au zaidi na zinaenda volts hadi 9.

Soma zaidi quickcharge ya qualcomm
 
Back
Top Bottom