Recent content by Eghainimalinya

  1. E

    Soma kuna kitu cha kujifunza hapa.

    Mkuu, hebu Fanya unirudishie mchango wangu bhana Najua umeacha bange akili yako iko sawa sasa
  2. E

    Mshahara wa July 2019 vipi?

    Huyu mzee akiwa kwenye majukwaa anavyotamba,,, mishahara inalipwa tarehe 19 tofauti na huko nyuma,, Daaaah kwa style hii utendaji kazi utakua zero aisee
  3. E

    Nilichojifunza kuhusu ziara ya rais Magufuli gerezani Butimba

    Mkuu naomba kuuliza, kwani MANGEKIMAMBI yy anasemaje ???
  4. E

    Model ya ushuru wa magari ndio suluhu ya TRA kwa kodi zote

    Thread nzuri sana hii TRA na watumishi wake ni changamoto kubwa mno ktk nchi hii kumuondoa kamishna tuu haitoshi
  5. E

    Rais hawa ndo uliagiza wafyatue?

    Haya mazezeta ya ccm yanatusumbua sana Sasa hili li msukule ndo limeandika nn hapo
  6. E

    Kuajiriwa ni utumwa hizi ndo sababu zilizonifanya nikaacha ualimu

    Inategemeana umeajiliwa wapi bhana Wewe kama ulikua mwalimu ni sahihi kabisa kuacha maana hiyo sio ajira bali ni utumwa
  7. E

    Naomba Wahandisi wa Ujenzi (Civil Engineers) tuzungumze hapa!

    Hakuna CIVIL ENGINEER anaeweza kutoa matusi kwa wachangiaji wa mada aliyoileta, tena hata pasipo hitajika kutoa tusi. Ma CIVIL ENGINEER ni GREAT THINKERS hua hatutukani hovyo hovyo kama huyu bwana anavyofanya. Na kama kweli umesoma civil, utakua umesoma pale misungwi chuo cha maendeleo ya...
  8. E

    Nina mawazo mazuri ya kibiashara ila mtaji sina

    Tiririka hayo mawazo mkuu then tuone tunafanyaje
  9. E

    Kagame alikua na mkono kwenye mauaji ya Thomas Sankara?

    Nyie madada poa wa Lumumba tulishawazoea,, hamjitambui kazi yenu ni kutukana hata pasipo hitaji kutukana, na kibaya zaidi wengi wenu mnatumia mikalio yenu kufikiri Blaalfuull wewe
  10. E

    Kagame alikua na mkono kwenye mauaji ya Thomas Sankara?

    Hao unaowatetea Kwa taarifa yako ni kwamba wamelaaniwa Waliuana wao kwa wao kwa mambo ya kijinga sana Huwezi kumchinja ndugu yako au jirani yako alafu Mungu akakuacha salama hawana upendo wowote kwetu hivi kweli walishndwa kupendana wao kwa wao waje kukupenda wewe mchoma MKAA mmatumbi wa...
  11. E

    Serikali Mkoani Shinyanga yakamata kadi 267 za "ATM" za Watumishi wa Umma kwenye Taasisi ya kukopesha fedha

    Ngoja nijiandae kuifunga rasmi ofc yangu,, maana naona sasa tunakoelekea nawezapoteza vijisent vyangu..wacha nikavielekeze kwingine japo hao jamaa tunafanya nao biashara bila shida yoyote ile na pia kubaki na kadi ya MTU sio lazima ila ni option tuu
  12. E

    Halotel waja kivingine

    Aisee wewe sio mzima kabisa
Back
Top Bottom