Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,994
- 144,329
Gazaeti la Mwananchi(la mtandaoni) linaarifu kuwa wazirri Mwakyembe amemtetea Prof.Kabudi kwa kusema asilaumiwe yeye peke yake kwani uamuzi wa kuipa tender kampuni ya Kenya ya Indo Power ulikuwa ni uamuzi wa mawaziri wote na akaongeza mawaziri wanafanya kazi kwa pamoja(bila shaka alimanisha collective responsibility).
Maswali:
Mawaziri wanaweza kufanya maamuzi ya pamoja bila kuketi katika kikao cha Baraza la Mawaziri?
Kama jibu ni hapana,Raisi ambae ndie mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri,hapa nae hahusiki?
Je,kuna mtu ambae Waziri Mwakyembe kaamua kumlipua kiani kupitia kauli yake hii?
Pamoja na yote haya,binafsi nampongeza Mwakyembe kwa kusema ukweli kuhusu hili jambo maana ukweli tumeujua.
Maswali:
Mawaziri wanaweza kufanya maamuzi ya pamoja bila kuketi katika kikao cha Baraza la Mawaziri?
Kama jibu ni hapana,Raisi ambae ndie mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri,hapa nae hahusiki?
Je,kuna mtu ambae Waziri Mwakyembe kaamua kumlipua kiani kupitia kauli yake hii?
Pamoja na yote haya,binafsi nampongeza Mwakyembe kwa kusema ukweli kuhusu hili jambo maana ukweli tumeujua.
Profesa Kabudi azushiwa jambo, Dk Mwakyembe asema uamuzi ulikuwa
Kutajwa kwa jina la Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi kumezua utata na mabishano bungeni, huku Serikali ikisema asilaumiwe peke yake.
t.co