Recent content by Edylux

  1. E

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    No. 4 JINSI YA KUFIKIA MAKAZI YA MTEJA; USHAURI. Kwa kuwa wateja wengi wa mijini wako kwenye maeneo yaliyopimwa na Serikali; ila mitaa haina majina, na nyumba hazina namba; tunawashauri mpate nakala ya ramani kutoka mamlaka husika, ili mteja anapowahitaji mfike kwenye makazi yake, awatajie...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Vty
  3. E

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

    Pole sana. Jaribu tiba mbadala, dawa za kienyeji kutoka India. Muone tabibu asili, Dr. Shashtri kutoka India, ana duka Arusha na Dar (karibu na soko la Kariakoo) 0754 201 666, 0752 921 060, 0784 486 411. Ongea na doctor mwenyewe. Jamani ndugu zangu, dada yenu ninakuja kwa heshima kubwa kuomba...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Muhimbili mpya hiyoo, hongera sana Magufuli

    Wapeleke idadi ya kutosha ya wafanyakazi au wanafunzi, sasa, kujifunza namna ya kuzikarabati (technicians), ili kupungunza utegemezi wa maintainance kwa 100%; angalao kwa mambo madogo madogo.
  5. E

    JamiiForums Tanzania Laptop yenye HD 500GB na Ram 2GB inauzwa

    Speed gani? Iko katika hali gani? Weka picha plz...
  6. E

    JamiiForums Tanzania Mke wangu ana tatizo la uzazi

    Poleni sana. Jaribu na tiba za asili. Mpigie Dr. J. Mwaka na kwa ushauri pia. 0767 600 600 0762 400 400
  7. E

    JamiiForums Tanzania Biashara ya madini aina ya sunston

  8. E

    JamiiForums Tanzania Kama unatafuta Fundi tiles

    QUOTE]unapatikana kwa simu gani?
  9. E

    JamiiForums Tanzania Kama unatafuta Fundi tiles

    Tafadhali nipigie 0754856677 muda wowote, mapema iwezekenavyo.
  10. E

    JamiiForums Tanzania Natafuta "EKILELE KY'ORUBISI"

    hakuna haja ya kugongwa mtaani,muone bw Kazaura kwenye duka la samaki pale sinza mori, barabara ya vumbi, kama duka la 5 au 6 kulia. utapata kwa bei poa. Pia kuna na nkeije, ntura, mboju, ngege, nshonzi, kashuli nk nk. Fresh kabisa. Edylux
  11. E

    JamiiForums Tanzania Natafuta "EKILELE KY'ORUBISI"

    hakuna haja ya kugongwa mtaani,muone bw Kazaura kwenye duka la samaki pale sinza mori, barabara ya vumbi, kama duka la 5 au 6 kulia. utapata kwa bei poa. Pia kuna na nkeije, ntura, mboju, ngege, nshonzi, kashuli nk nk. Edylux
  12. E

    JamiiForums Tanzania Juice ya ajabu: Ni dawa, kinga na virutubisha vya kuongeza nguvu za kiume na kike

    Mkuu ahsante kwa muongozo. Tunakuomba utuwekee na vipimo, mfano: # embe ngapi? # maziwa kiasi gani? # unga wa soya kiasi gani? wa aina gani? # asali kiwango gani? # maji kiasi gani? # tangawizi. # unatumia kwa muda gani au siku ngapi? Tafadhali tupatie majawabu pamoja na hiyo supu...
  13. E

    JamiiForums Tanzania Kupungua au kukosa hamu ya kufanya mapenzi (low sexual libido or loss of libido)

    salaams, naweza kuipataje na inagharimu kiasi gani? Edylux - dar sinza
Back
Top Bottom