Kuna mmoja yuko hivyo na Huwa anajitangaza sana mitandaoni na hata kwenye baadhi ya T.V stations wamemuhoji sana
Watu aina hiyo wapo wengi tu, ila inabaki kuwa Siri Yao na familia zao
Kabla ya mshahara kupanda mshahara wa mtendaji wa mtaa daraja la III ulikuwa 450,000 kabla ya makato, baada ya makato ulikuwa 393,000
Baada ya mshara kupanda, baada ya makato mshahara umekuwa 499,000
Ilishawahi kunikuta kwenye sahili mbili tofauti nikaambiwa kozi yangu haijulikani, wakapiga simu sehemu kisha wakaniruhusu niingie chumba cha usahili, Namshukuru Mungu kozi hiyo hiyo ndio ikaniptia ajira serikalini
Just relax, jifanye bwege kwa muda, akienda kusalimia kwao,mnunulie mpaka zawadi za kupeleka kwao, akifika kwao na wewe unaenda ndani ya wiki hiyo kuwaambia Toto lenu nimelishindwa, Toto lenu hilo hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.