Recent content by Edwin171

  1. Edwin171

    JamiiForums Tanzania EPSON HD PROJECTOR INAUZWA

    Bado ipo nahitaji, niambie niifate leo hii hii namba yangu 0625579184
  2. Edwin171

    JamiiForums Tanzania Rais Samia tafadhali zifute hizi taasisi kwa manufaa ya umma

    Taratibu zao zikoje mkuu?
  3. Edwin171

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitarudia tena nyakati hizi za mfungo

    Kuna mmoja yuko hivyo na Huwa anajitangaza sana mitandaoni na hata kwenye baadhi ya T.V stations wamemuhoji sana Watu aina hiyo wapo wengi tu, ila inabaki kuwa Siri Yao na familia zao
  4. Edwin171

    JamiiForums Tanzania Mtendaji mtaa MEO

    Kabla ya mshahara kupanda mshahara wa mtendaji wa mtaa daraja la III ulikuwa 450,000 kabla ya makato, baada ya makato ulikuwa 393,000 Baada ya mshara kupanda, baada ya makato mshahara umekuwa 499,000
  5. Edwin171

    JamiiForums Tanzania Ushauri: hakikisha una mganga mzuri kabla ujaenda oral interview yeyote ya utumishi

    Nakuunga mkono mkuu, bila connection niliganikiwa kuingia oral tano, na katika hizo tano, oral interview moja ikaniingiza kwenye utumishi wa umma
  6. Edwin171

    JamiiForums Tanzania Hussein Machozi: Nilitaka nimpige risasi Ruge, show nililipwa milioni 12 akanipa milioni 1 tu

    Sikupingi, nakubaliana na wewe mkuu
  7. Edwin171

    JamiiForums Tanzania HIV crisis na uelewa mdogo wa Watanzania

    Umenikumbusha mbali sana mkuu
  8. Edwin171

    JamiiForums Tanzania Mbunge Kishimba atoa Onyo: Bodi ya Mikopo (HESLB) itafilisika ikiendelea kutoa fedha kwa Elimu Isiyoajirika, Bodi inazitupa hela kwa GPA isiyoajirika

    Ilishawahi kunikuta kwenye sahili mbili tofauti nikaambiwa kozi yangu haijulikani, wakapiga simu sehemu kisha wakaniruhusu niingie chumba cha usahili, Namshukuru Mungu kozi hiyo hiyo ndio ikaniptia ajira serikalini
  9. Edwin171

    JamiiForums Tanzania Taasisi zinazokula kwa urefu wa kamba zao

    Uwe unaumwa, umefiwa, unauguza, Muhindi anakupuna tu, yaani hacheki na yoyote
  10. Edwin171

    JamiiForums Tanzania Nimepata mtoto wa kiume usiku huu, baada ya kuwa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 7

    Kila mwenye kusubiri yupo pamoja na mwenyezi Mungu
  11. Edwin171

    JamiiForums Tanzania Faida za kuvaa T-shirt za biashara yako

    T-shirts za kudarizi mnafanya kwa Bei gani?
  12. Edwin171

    JamiiForums Tanzania Ni upi utaratibu wa kumrudisha mke asiye na nidhamu nyumbani kwa wazazi wake?

    Just relax, jifanye bwege kwa muda, akienda kusalimia kwao,mnunulie mpaka zawadi za kupeleka kwao, akifika kwao na wewe unaenda ndani ya wiki hiyo kuwaambia Toto lenu nimelishindwa, Toto lenu hilo hapo
  13. Edwin171

    JamiiForums Tanzania Kujenga nyumba ni usumbufu sana

    Sawa Fundi mahiri wa ujenzi
Back
Top Bottom