Wakopaji wa fedha

Wakopaji wa fedha

watu kama nyie mkikopesha isiporudi kwa wakati mnakuaga na hasira kinoma 🤠
Kama unanijua vile...kuna mtu alinizingua na hela yangu, nikafanya vimbwanga nikamletea polisi, chapwa viboko Sana ndo akalipa🤣🤣🤣....yaan ukianza kudai inabidi uwe kichaa ndo utalipwa hivi hivi kwa mdomo hulipwi ng'oo
 
Kichwa cha Habari

Nimechukia sana: Hivi nyie mnaokopeshwa hela mna funza kichwani au tabia zenu ni za kishoga?

Wakuu salamu,

Nipo na hasira ya kufa mtu na leo situmii ustaraabu hata kidogo. huu upumbavu, ushamba na uhuni unaofanywa na watu wanaokopa hela za dharura

Mtu ana shida, anajiliza na kuomba mpaka unamhurumia Unajinyima, unaingia kwenye benki unamtumia laki 5 au milioni 1 kwenda kwenye simu yake Hapo tayari wewe umeshakatwa makato ya kutuma

Ujinga wao unaanza hapa

Kuchelewesha hela, Hela inakaaaa wweeeh kwake! Wakati anaomba anapiga simu kila sekunde, akishapata anarudisha anavyojisikia yeye mpaka umpigie magoti.

Kurudisha hela kavu, Anarudisha ile laki 5 au milioni 1 kamili! Hivi kichwani mmejaza funza?
Hamjui kulikuwa na makato wakati inatumwa? Yanini mimi niliyemsaidia niingie hasara ya kulipia makato ya shida zake?

Hawa watu sio bure, tabia zao ni za kishoga kabisa Mtu mzima anayejielewa hawezi kuwa na tabia za kilewela, kilegevu na za kisongombingo kwenye hela ya mtu.

Kulialia wakati wa shida halafu ukipata hela unaleta mambo ya hovyo ni tabia za hovyo sana

Mtu hana adabu ya kifedha, hajiongezi kuweka hata ya kutolea, halafu kesho akikwama anategemea umkopeshe tena.
Wakuu mimi nimechukia sana. Ungekuwa wewe, unaweza kumkopesha mpuuzi wa namna hii tena?
Kumkopesha mtu hujenga uaminifu we jiulize kwanini alikuja kukopa kwako na si kwa mtu mwingine? Na pia mtu akikopa uaminifu wake ndo utaamua akulipe ama laa vinginevyo hakunaga sheria inayomfunga mkopaji otherwise aliweka dhamana
 
Kama unanijua vile...kuna mtu alinizingua na hela yangu, nikafanya vimbwanga nikamletea polisi, chapwa viboko Sana ndo akalipa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]....yaan ukianza kudai inabidi uwe kichaa ndo utalipwa hivi hivi kwa mdomo hulipwi ng'oo
[emoji28][emoji28] subiri tu, ngoja uletewe migambo !
 
hakika! kuna watu wana fikra za ajabu kweli, anakukopa anakwambia nitakupa siku flani, ila kwa sababu umenyaza anaona uyu hana shida nayo anapotezea, na siku nyingine anaweza kuja kukukopa bila aibu kabisa !
Kuna mwamba alikiwa ananikopesha sana kipindi niko juu ya mawe, nikawa namrudishia kwa wakati,

Siku zikaenda akapata changamoto nikamkopesha yeye, hakuwahi kunilipa, na tunachat kama kawaida wala haongelei suala la kunilipa, akaja kupata changamoto ya pesa, akanicheki huku anajihami "ooh najua unanidai, nitaweka bond XXX" nikamjibu tu sina maana pesa niliomkpesha ni nyingi ambayo ningefanya jambo la maana tu,

Mkikopa mjue na kulipa jamani
 
Kuna mwamba alikiwa ananikopesha sana kipindi niko juu ya mawe, nikawa namrudishia kwa wakati,

Siku zikaenda akapata changamoto nikamkopesha yeye, hakuwahi kunilipa, na tunachat kama kawaida wala haongelei suala la kunilipa, akaja kupata changamoto ya pesa, akanicheki huku anajihami "ooh najua unanidai, nitaweka bond XXX" nikamjibu tu sina maana pesa niliomkpesha ni nyingi ambayo ningefanya jambo la maana tu,

Mkikopa mjue na kulipa jamani
hakika !
 
Watu hawalipi asee...mi mwenyewe nadaiwa hela ndefu najisikia vibaya asee kutokumlipa huyu mtu😄...na sio kwamba sina hela ninayo ila moyo mziiiitooošŸ¤”
Kwa MTU kama Mimi uwa na kanuni zangu hizo moja ya kanuni zangu,

Siwezi kukukopesha pesa kubwa kama sijawahi kukukopesha pesa ndogo ukarudisha ,

Kama hiyo ndogo Tu , uneshindwa kulipa basi , biashara ndiyo Inakua imeishia hapo

Unakua umenunua mema kwa senti mdogo ambayo ningeweza kukutendea maishani.
Mnafanya nini kuwapenda wawapendao maana hata makahaba huwapenda wawapendao nanyi mkopeshapo msitizamie kurudishiwa maana hata wenye dhambi hufanya hivyo pia bali nyinyi mtoapo toeni kwa moyo wala mstalajie kupokea kitu
Unazungumzia pesa hii yakutafutwa kwa jasho au yakupewa bure.
 
Kwa MTU kama Mimi uwa na kanuni zangu hizo moja ya kanuni zangu,

Siwezi kukukopesha pesa kubwa kama sijawahi kukukopesha pesa ndogo ukarudisha ,

Kama hiyo ndogo Tu , uneshindwa kulipa basi , biashara ndiyo Inakua imeishia hapo

Unakua umenunua mema kwa senti mdogo ambayo ningeweza kukutendea maishani.

Unazungumzia pesa hii yakutafutwa kwa jasho au yakupewa bure.
Jashoo
 
Watu hawalipi asee...mi mwenyewe nadaiwa hela ndefu najisikia vibaya asee kutokumlipa huyu mtu😄...na sio kwamba sina hela ninayo ila moyo mziiiitooošŸ¤”
Kwa MTU kama Mimi uwa na kanuni zangu hizo moja ya kanuni zangu,

Siwezi kukukopesha pesa kubwa kama sijawahi kukukopesha pesa ndogo ukarudisha ,

Kama hiyo ndogo Tu , uneshindwa kulipa basi , biashara ndiyo Inakua imeishia hapo

Unakua umenunua mema kwa senti mdogo ambayo ningeweza kukutendea maishani.
Mnafanya nini kuwapenda wawapendao maana hata makahaba huwapenda wawapendao nanyi mkopeshapo msitizamie kurudishiwa maana hata wenye dhambi hufanya hivyo pia bali nyinyi mtoapo toeni kwa moyo wala mstalajie kupokea kitu
Unazungumzia pesa hii yakutafutwa kwa jasho au yakupewa bure
Natamani Ni mwage maarifa hapa , sema ndiyo hivyo Mimi Ni Mvivu kutype
 
Kwa MTU kama Mimi uwa na kanuni zangu hizo moja ya kanuni zangu,

Siwezi kukukopesha pesa kubwa kama sijawahi kukukopesha pesa ndogo ukarudisha ,

Kama hiyo ndogo Tu , uneshindwa kulipa basi , biashara ndiyo Inakua imeishia hapo

Unakua umenunua mema kwa senti mdogo ambayo ningeweza kukutendea maishani.

Unazungumzia pesa hii yakutafutwa kwa jasho au yakupewa bure

Natamani Ni mwage maarifa hapa , sema ndiyo hivyo Mimi Ni Mvivu kutype
Mwagaaa kizuri kula na watu
 
Kama hufanyi biashara ya pesa usikopeshe pesa ovyo. Niliwahi kumkopesha mtu mmoja wa heshima sana, aliniomba pesa kiasi kwa nafasi yake nikampa kadi, alipokwenda benki akachungulia salio akavuta nyingi zaidi, akarudi na slip kuniambia ameongeza zaidi, sikuona shida, shida kuipata hiyo pesa! Acha tu na urafiki wetu uliisha, na heshima yake tulikwazana nikampeleka mbele tukasuluishwa akanilipa. Nimekoma.
Aysee kuna mmoja haapa nmemkopesha lak tano naona ananiletea mazing'aombwe...alikuwa anairudisha baada ya wik mbili..ss hiv anajifanya mzigo uliaribika...na analipa..kulipa mpk nimuombe..nawaza cha kumfanya ila sina...hapa jiran ana kipombe shop nawaza kwenda kuzoa mzigo wote dukan ili hela yangu ilipwe
 
Back
Top Bottom