mimi akili kubwa nimegundua kitu: polisi/serikali inataka kuwalazimisha chadema watoe tamko kwamba maandamano ya kada orijino Dr. Pro. Ms. Kimambi waliandaa wao na hivyo wameahirisha kwasababu nchi sasa ina aman
Ila tarehe 26 ndo hiyoooo ina count down na maandamano hayo ya amani hayaongozwi na...
kama yule wa kinondoni mbunge, imagine polisi anabeba sanduku then anarudisha hahaha...naskia saivi yupo kijini kwao kwenye mimoshi ya majungu domo likae sawa, amezungukwa na mibabu inaimba nyimbo za kale hahaha...hapo wazanzibari nimewakubali
mimi kinachonishangazaga ni kwamba Cv zao, au ile Portfolio...hata ugoogle vp, humuoni popote, sio mitandaoni a kwa watu aliyosma nao....kweli hata ndugu wasidokeze kwenye magroup ya whatsapp? au walizaliwa na kukulia ikulu...wao wanachojua ni kulinda tu rais na viongozi!??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.