Natamani kuona Polisi wakienda kulinda amani mataifa ya nje (Peacekeeping)

Hata traffic akiwa barabarani, then msafara wa kijeshi unapita, utaona kuna MP atakwenda kufanya kazi ya kuongoza magari, wakati huo traffic amewekwa pembeni baada ya msafara kupita mp huondoka na kumwacha traffic aendelee na kazi yake,
Ki utaratibu sio majukumu ya MP.MP anapaswa kuomba kwa trafki ili amsaidie kusimamisha magari na huwa wanafanya hvyo katika msafara wa kiongozi wao tu

Misara yote huwa ni polisi ndio wanao ongoza
 
Wanashauri jamii ishi vp? Sasa kwanini waitwe jeshi? Ni kwa mujibu wa katiba
Shekhe ndo mana jeshi la polisi lipo chini ya usimamizi wa wizara ya mambo ya ndani kikatiba,na tukizungumzia jeshi la polisi tuna jumuisha ,polisi magereza,polisi wa usalama barabarni,na kada zingine zitokanazo na polisi bila kusahau zima moto kwa hyo hao hawana mbinu za kupigana na taifa lingine wao ni wa usalama tu wa ria na mali zao na kuhakikisha jamii haivunji sheria zilizotungwa na bunge ambapo wapo wabunge kule wanao tuwakilisha bungeni, au shekhe wewe ni polisi unataka nafasi ya kwenda darful ukale shavu.
 
Polisi hawawezi kwenda kulinda amani kwa kua mafunzo yao ni kupambana na waarifu na RAIA mmoja mmoja au kikundi cha waarifu hats hivyo hakuna commando polisi pia polisi ni sawa na mwalimu wakueleza jamii iishi VP ktk hali ya amani.KIFUPI POLISI VITA HAWAWEZI MAFUNZO YA NI YA NDANI YA NCHI.
Hakuna askari asiepigana vita ndio maana wakaitwa majeshi ya akiba ukianzia mgambo,magereza,uhamiaji,fire na polisi wote wanafundishwa medani za kivita katika mapigano ya ardhini na kutumia silaha za msaada

Na katika maswala ya komando hujawah ona operation zinazofanyika na zinazofanywa na polisi zinakuwaje

Na pia hata hao jw hawawz kwenda Kongo mpka waende kufanya kozi pale msata au msangan kwa miezi mitatu hadi sita ili kukumvushiana kutokana wengne wanakuwa katika vitengo tofauti kama manesi,wapishi na madoja wengne

Ila kwasababu huwa wananchi sis hatujui hzo operation zinazofanywa na polisi

Na polis wanamafunzo maalumu ya kupambana na wahalifu na mambo ya kivita

Na pia msione mtu kava bakabka mkajua well trained wengne kuangushia kozi tu baba kanituma

Umahili wa jeshi ni pale linapopambana na wahalifu

Ila ulizen muambiwe kazi wanayoifanya polisi ni kubwa mno kushinda tunavyoelewa sis wananchi wko very tactical katika battle field

Mtafute mwanajeshi yeyote yule aliefanya operation moja na polisi akwambie umahili wa jeshi LA polisi
 
Shekhe ndo mana jeshi la polisi lipo chini ya usimamizi wa wizara ya mambo ya ndani kikatiba,na tukizungumzia jeshi la polisi tuna jumuisha ,polisi magereza,polisi wa usalama barabarni,na kada zingine zitokanazo na polisi bila kusahau zima moto kwa hyo hao hawana mbinu za kupigana na taifa lingine wao ni wa usalama tu wa ria na mali zao na kuhakikisha jamii haivunji sheria zilizotungwa na bunge ambapo wapo wabunge kule wanao tuwakilisha bungeni, au shekhe wewe ni polisi unataka nafasi ya kwenda darful ukale shavu.
Ndio kwani vibaya?
 
Ki utaratibu sio majukumu ya MP.MP anapaswa kuomba kwa trafki ili amsaidie kusimamisha magari na huwa wanafanya hvyo katika msafara wa kiongozi wao tu

Misara yote huwa ni polisi ndio wanao ongoza
Constable, soma vizuri nilichokiandika, wapi nimetaja misafara ya viongozi? Then ujue kutofautisha kilichoandikwa, najua misafara yote nchini inaongozwa na polisi kwa sababu hata hao viongozi ni sehemu ya raia, nimesema misafara ya kijeshi.
 
Hakuna askari asiepigana vita ndio maana wakaitwa majeshi ya akiba ukianzia mgambo,magereza,uhamiaji,fire na polisi wote wanafundishwa medani za kivita katika mapigano ya ardhini na kutumia silaha za msaada

Na katika maswala ya komando hujawah ona operation zinazofanyika na zinazofanywa na polisi zinakuwaje

Na pia hata hao jw hawawz kwenda Kongo mpka waende kufanya kozi pale msata au msangan kwa miezi mitatu hadi sita ili kukumvushiana kutokana wengne wanakuwa katika vitengo tofauti kama manesi,wapishi na madoja wengne

Ila kwasababu huwa wananchi sis hatujui hzo operation zinazofanywa na polisi

Na polis wanamafunzo maalumu ya kupambana na wahalifu na mambo ya kivita

Na pia msione mtu kava bakabka mkajua well trained wengne kuangushia kozi tu baba kanituma

Umahili wa jeshi ni pale linapopambana na wahalifu

Ila ulizen muambiwe kazi wanayoifanya polisi ni kubwa mno kushinda tunavyoelewa sis wananchi wko very tactical katika battle field

Mtafute mwanajeshi yeyote yule aliefanya operation moja na polisi akwambie umahili wa jeshi LA polisi
Acha kujitetea hapa, hakuna katika polisi, zimamoto wala magereza wanaofundishwa silaha ya msaada zaidi ya kwenye section pekee.
Operesheni zinazofanywa na polisi mfano kibiti nimeona maana kila siku ilikuwa majanga hadi jw kufika kule, kuna zaidi.

Tofautisha baina ya kozi na mazoezi, msangani, msata sio kozi ni mazoezi. Na hiyo nchi zote majeshi yake huwa yanafanya mazoezi kwa ajili ya kwenda peacekeeping.

Umahiri wa polisi ni kupambana na wahalifu, hiyo inategemea na aina na ukubwa wa uhalifu wenyewe labda maandamano na vurugu za wahuni mbagala. Kama vile kinondoni.

Polisi wako very tactical kwenye battle field unajikosha. Kwa askari hawa, mtu hana silaha anawakabili wanapigana risasi wenyewe.

Operesheni zote wanazofanya pamoja jw na polisi huwa hazifanikiwi hadi polisi waondolewe, mfano mzuri Amboni kwasababu (wenyewe kwa wenyewe wanaunafiki wa ndani) na kila mchongo ukipangwa wao wanavujisha.
Kuna zaidi?
 
Acha kujitetea hapa, hakuna katika polisi, zimamoto wala magereza wanaofundishwa silaha ya msaada zaidi ya kwenye section pekee.
Operesheni zinazofanywa na polisi mfano kibiti nimeona maana kila siku ilikuwa majanga hadi jw kufika kule, kuna zaidi.

Tofautisha baina ya kozi na mazoezi, msangani, msata sio kozi ni mazoezi. Na hiyo nchi zote majeshi yake huwa yanafanya mazoezi kwa ajili ya kwenda peacekeeping.

Umahiri wa polisi ni kupambana na wahalifu, hiyo inategemea na aina na ukubwa wa uhalifu wenyewe labda maandamano na vurugu za wahuni mbagala. Kama vile kinondoni.

Polisi wako very tactical kwenye battle field unajikosha. Kwa askari hawa, mtu hana silaha anawakabili wanapigana risasi wenyewe.

Operesheni zote wanazofanya pamoja jw na polisi huwa hazifanikiwi hadi polisi waondolewe, mfano mzuri Amboni kwasababu (wenyewe kwa wenyewe wanaunafiki wa ndani) na kila mchongo ukipangwa wao wanavujisha.
Kuna zaidi?
Kaaa kimya kama haujui msiwanange polisi hamuwajui ukali wako na wala pale amboni hujui kilichotokea zaidi ya stori watafute hao wajesh wako alafu waulize ishu ya amboni watakwambia nani alifanikisha wakina nani waliingia mapangoni na kikosi gani kasome kitu hiki CQB ndio utaelewa
 
Kwenye huu uzi nmegundua mambo kadhaa.
Mtoa mada ni askari wa Jwtz.
Mtoa mada anajua majibu ya maswali yake ila anataka kujua uwezo wa watu wengine.
Msaada wangu ni. Kamusi elezo huru Wikipedia tu, hakuna askari hapa, mimi ni kama wewe raia kama wengine, huwa nautumia muda wangu mwingi kwenye kusoma machapicho mbali mbali ndio maana.
 
Kaaa kimya kama haujui msiwanange polisi hamuwajui ukali wako na wala pale amboni hujui kilichotokea zaidi ya stori watafute hao wajesh wako alafu waulize ishu ya amboni watakwambia nani alifanikisha wakina nani waliingia mapangoni na kikosi gani kasome kitu hiki CQB ndio utaelewa
Close quarter combat sio ishu, ishu ni kuwa hadi zoezi limefanikiwa ni special forces ndio waliofanikisha, una la zaidi.
 
Tunapojadili mada kama hizi sio kwa ajili ya kudharau hivi vyombo vya ulinzi hapa nchini bali ni kujiongezea ufahamu tu. Navipenda vyombo vyote vya ulinzi hapa nchini na naviheshimu pia. Ahsanteni.
 
Close quarter combat sio ishu, ishu ni kuwa hadi zoezi limefanikiwa ni special forces ndio waliofanikisha, una la zaidi.
Sio combat nakusahihisha ni BATTLE na hyo polisi wako well tactical kushinda hao jw wako unao wasifia na nakupa mfano c unaona pale Kenya katika ile mall polisi walisha advance wakaja hao wanajeshi wako wakaingia kichwa kichwa kilitokea nn
Kwahyo kila sehemu kuna wataalamu wao

Na hyo special force polisi ipo ila sio watu wa kuona katika maonyesha ya sikukuu za jamhuri wao wapo kikaz zaid na sio mbwembwe
 
Tatizo sio kujua katiba, nimeanza kwa kifungu cha Katiba hapo juu.

Ukisema usalama wa raia na mali zao inajitosheleza nenda kaangalie dhima za polisi.

Wanajeshi wanalinda mipaka ya nchi na kusaidia mamlaka za kiraia. Polosi ni mamlaka ya kiraia (haikustahili kuitwa jeshi).

Kutumia mfumo wa aina moja wa mafunzo sio sababu na ndio maana kwa vile polisi hawakustahili kuitwa jeshi (hawana utaratibu wa kozi katika fani na katika uongozi). Na pia umetaja muundo wa section na battalion, hayo wanayaona kwenye mafunzo tu, lakini muundo wao (constabulary) hutokuja kusikia polisi wanakikosi kinachoongozwa na CO popote tanzania hii.

Kwavile umesema polisi ni jeshi la akiba, basi ujue kuwa hata magereza, zimamoto na mgambo wote wapo kwenye kundi hilo. Je mgambo ni jeshi? Mbona wanapewa mafunzo ya kijeshi?

Kujua kutumia silaha ni kwa vile mafunzo ni yale yale lakini je, hizo unazoongelea ni silaha zinazotumika kwenye ngazi gani na wakati gani. Polisi kutuma smg sawa, lmg sawa, ila hizo nyingine sahau.

Linapokuja swala la vikosi na kamandi, basic kwa tanzania hii ni infantry hata uwepo kwenye kamandi ya anga, hayo mengine ni mgawanyiko wa majukumu, na kwenye kamandi atakayokuwepo ni lazima afanye kozi kulingana na kamandi husika.

Na katika mission wanajeshi wanakwenda kwa kazi za kijeshi na polisi wanakwenda kwa kazi zao za upolisi, hakuna polisi atakaehitajika na UN kwa ajili ya kwenda kushika silaha kule na ndio maana wanakwenda wachache, kazi zao ni kama zile za vituoni mwao (kudili na malalamiko ya raia).

Usisemehe majeshi, sema askari wote (polisi, wanajeshi, magereza, mgambo, zimamoto) wamefundishwa mbinu za medani. Lakini basic tu, isipokuwa kwa mgawanyiko wa majukumu jw wao wako advanced zaidi kwa vile wanakwenda kozi zaidi na kwa fani mbali mbali tena zote za kijeshi.

Polisi ni idara ndani ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi. Idara nyingine ni pamoja na magereza, uhamiaji na zimamoto. Ukisema hakuna idara inayopewa umiliki wa vifaa vya kijeshi hapo unakosema, mana kuna mpaka taasisi za watu binafsi na wanamiliki silaha.

Umehororoja sana lakini unachotakiwa kujua hayo yote uliyoongea ni useless ukijua critearia za chombo kuitwa jeshi utaelewa tu, kuijua mifumo then huifanyii kazi ni sawa na bure.
Ili chombo kiitwe jeshi kinatakiwa kiwe na vifaa, watu, na muundo ndio unaosadifu.

Kwenye umiliki wa vifaa vya kijeshi hapo lazima nikupe utofauti wake, jeshi lolote lina ngazi za vifaa vya ajili ya matumizi kulingana na muundo na uhitaji wa hiyo silaha kimuundo kikosi cha jeshi kinaweza kuwa na mizinga lakini Polisi nzima huwezi kukta mzinga hata mmoja, muundo wao ni wa kushughulika na matatizo ya raia. Sio jeshi. Jeshi ni kuinlinda nchi na mipaka yake yote dhidi ya aduiwa nje na ndani vile vile kisaidia mamlaka za kiraia kama polisi, mfano mzuri, kule Kibiti. Kama Polisi ingelikuwa wenyewe ni jeshi kwanini waliita jw kuwasaidia? Ilikuwaje? Walishindwa wapi? Lazima ujue kuna kuzidiana kimamlaka na silaha pia.
Yupo CO FFU tz
 
Sio combat nakusahihisha ni BATTLE na hyo polisi wako well tactical kushinda hao jw wako unao wasifia na nakupa mfano c unaona pale Kenya katika ile mall polisi walisha advance wakaja hao wanajeshi wako wakaingia kichwa kichwa kilitokea nn
Kwahyo kila sehemu kuna wataalamu wao

Na hyo special force polisi ipo ila sio watu wa kuona katika maonyesha ya sikukuu za jamhuri wao wapo kikaz zaid na sio mbwembwe
Sio kwa polisi wa tanzania hii, unasemea kitu cha tanzania unatolea mfano kenya Duh! Kama ulikuwa hujui: katika mission nyingi hapa nchini kwetu polisi wao ni kufeli mwanzo mwisho, bila mkono wa jw. Polisi wamefanikiwa kwenye kuteketeza mashamba ya nangi pekee
Ukinipa mission walau moja au mbili tu tanzania hii iliyofanya na polisi pekee na ikafanikiwa naacha kukukosoa.
 
Back
Top Bottom