Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,887
kama Mimi..but natafuta muda miezi ya mbele nitengeneze traps za hatari..ni rap mwenyewe..just one mix tape..ndio iwe basiSahivi nmeachana na hayo mambo, i was doing it for fun hata hivyo.
kama Mimi..but natafuta muda miezi ya mbele nitengeneze traps za hatari..ni rap mwenyewe..just one mix tape..ndio iwe basiSahivi nmeachana na hayo mambo, i was doing it for fun hata hivyo.
haha simu za baby hupokei,unapitiliza muda WA Kula..Mm ni mlevi na muhanga wa fl kiasi ambacho ilibidi niuze pc zote maana hakuna kazi utaifanya zaidi ya fl ina kula mda kuliko video games
Ahahaha hata mimi ilibidi niache, naweza maliza siku nzima kwenye mashine nisitoke hata njeMm ni mlevi na muhanga wa fl kiasi ambacho ilibidi niuze pc zote maana hakuna kazi utaifanya zaidi ya fl ina kula mda kuliko video games
Hahaha mi sina mistari ndio shida mbona ningeshaimba labda mtu anitungie then niinginize kwa beat.kama Mimi..but natafuta muda miezi ya mbele nitengeneze traps za hatari..ni rap mwenyewe..just one mix tape..ndio iwe basi
Mimi naweza Sana Ku flow but cjawai kuandika verse nzima..hah nilikua nawaandikia wana hooks Tu,mistari minne nakausha..now namie kma metroboomin ctaki ujinga...Hahaha mi sina mistari ndio shida mbona ningeshaimba labda mtu anitungie then niinginize kwa beat.
Cheki hio link juu hapo utakutana na trap zangu kadhaa. Nilikuw na upepo sana kipindi trap imekamata 2k12 kina Lex Lugar, Sizzle southside, TM.88, Drumma boy na Waka Flocka flame.Mimi naweza Sana Ku flow but cjawai kuandika verse nzima..hah nilikua nawaandikia wana hooks Tu,mistari minne nakausha..now namie kma metroboomin ctaki ujinga...
haha simu za baby hupokei,unapitiliza muda WA Kula..
Ahahaha hata mimi ilibidi niache, naweza maliza siku nzima kwenye mashine nisitoke hata nje
Beat boxing ni hatari sana! Nilikua na save kila nikigundua kitu kipya mzozo ulianza nilipo anza kupata plugins na kuna jamaa akanielekeza ku_download na ku sample yule ndio alikua ibilisi wa kunipotezea muda, unaanza asubuhi mpaka asubuhi nyingine, huli, simu hupokei, hujibu txt sijui hao ma producer wanawacliana vp na wateja wato kifupi ni very addictive than video games. Ila kwa bahati mbaya beats za huyu ndugu nime zickliza kwa headphones aisee, awe ana sikilizisha majirani kwanza ndio azipost au ndio addiction hata kutoka nje hatoki kuwasikilizishaMimi naweza Sana Ku flow but cjawai kuandika verse nzima..hah nilikua nawaandikia wana hooks Tu,mistari minne nakausha..now namie kma metroboomin ctaki ujinga...




......Muziki wa mavyombovyombo kuna mchizi mmoja anayeitwa Innocent Mujwahuki aka Kanye huyo jamaa ni balaa katika kuchezea bawa la shetani aka piano.Kama unataka kuijua FL watafute hao jamaa maana ma pro wengine hawana Time na chipukizi.nimesikiza beats kali sanaaaa Upo vizuri,tatizo lako lile lile ambalo my producer wengi wa bongo wanalo..kuna beat nimeiskiza kama copy and paste ya Ngoma ya Roscoe Dash na waka wocka flame..inaitwa no hands..kama producer huwezi kutengeneza sounds zako mwenyewe..huwezi kuleta kitu kipya coz soundkits maarufu Kila mtu Ana download..tujifunze kua Mafundi ,na kutumia effects plugins..sio synth plugins..me nimekaa nchi za watu miaka mitatu kujifunza mambo hayo..sio bado Sana Kuna vitu vya msingi hatujifunzi...badae ntarudi kuelezea mengi..PEACE..Cheki hio link juu hapo utakutana na trap zangu kadhaa. Nilikuw na upepo sana kipindi trap imekamata 2k12 kina Lex Lugar, Sizzle southside, TM.88, Drumma boy na Waka Flocka flame.
hhahha anajifunzaBeat boxing ni hatari sana! Nilikua na save kila nikigundua kitu kipya mzozo ulianza nilipo anza kupata plugins na kuna jamaa akanielekeza ku_download na ku sample yule ndio alikua ibilisi wa kunipotezea muda, unaanza asubuhi mpaka asubuhi nyingine, huli, simu hupokei, hujibu txt sijui hao ma producer wanawacliana vp na wateja wato kifupi ni very addictive than video games. Ila kwa bahati mbaya beats za huyu ndugu nime zickliza kwa headphones aisee, awe ana sikilizisha majirani kwanza ndio azipost au ndio addiction hata kutoka nje hatoki kuwasikilizisha
Yeah nilitumia kit ya 8.0.8 Mafia na effect zinginenimesikiza beats kali sanaaaa Upo vizuri,tatizo lako lile lile ambalo my producer wengi wa bongo wanalo..kuna beat nimeiskiza kama copy and paste ya Ngoma ya Roscoe Dash na waka wocka flame..inaitwa no hands..kama producer huwezi kutengeneza sounds zako mwenyewe..huwezi kuleta kitu kipya coz soundkits maarufu Kila mtu Ana download..tujifunze kua Mafundi ,na kutumia effects plugins..sio synth plugins..me nimekaa nchi za watu miaka mitatu kujifunza mambo hayo..sio bado Sana Kuna vitu vya msingi hatujifunzi...badae ntarudi kuelezea mengi..PEACE..
dahh me nilianza serious form 1 mwaka 2005,nilikua natumia hip-hop ejay..nilikua na computer but processor ilikua ndogo,haiwezi Ku install FL 5..hah..staki kukumbuka

kuna uzi nilikuwa naupitia mida hapa nikaona mzee baba unasema upo dar es salaam toka 1961 uku umeanza form 1 2005haha nilikua namzingua jamaa...anaizungumzia dsm tofauti SanaOff topickuna uzi nilikuwa naupitia mida hapa nikaona mzee baba unasema upo dar es salaam toka 1961 uku umeanza form 1 2005
nambie mzee..am backPoa kaka
haha nilikua namzingua jamaa...anaizungumzia dsm tofauti Sana

sawa, Msanii wa label yako Cozz katoka album nikiamka naisikiliza Demons N Distractions mpaka usingizini naisikiliza.j Cole kazingua,jamaa WA kawaida mno..Dar Kuna wana zaidi ya 30 wana spit vitu Cozz anangoja..hahsawa, Msanii wa label yako Cozz katoka album nikiamka naisikiliza Demons N Distractions mpaka usingizini naisikiliza.
j Cole kazingua,jamaa WA kawaida mno..Dar Kuna wana zaidi ya 30 wana spit vitu Cozz anangoja..hah