Recent content by Edward lazaro

  1. Edward lazaro

    Mpasuko CHADEMA Ubunge Afrika Mashariki: Fomu yadaiwa kuuzwa kwa laki 5

    Unako oona penye fomu za bei za madafu
  2. Edward lazaro

    Mpasuko CHADEMA Ubunge Afrika Mashariki: Fomu yadaiwa kuuzwa kwa laki 5

    EMB tutajie huko kwenu mliuza sh ngapi ? Maana ya kwetu sie twaona laki 5 ndogo.
  3. Edward lazaro

    Natafuta temporal job

    Ya kuogesha MTU, n pm hyo IPO
  4. Edward lazaro

    Kenya reaches out to TZ over stalled EU deal

    Hapa inaitajika I'd yako tuipeleke kwa gwajima uombewe uwe muelewa maana umeshaambiwa wabongo sie hatutaki kama wewe una misuli ya kuuza ulaya bas ungana nao maana naona biashara za kupeleka shanga ulaya siku hizi zimekua nazo za kwenda kushindanisha na makampuni ya simu, magari nk hata viwanda...
  5. Edward lazaro

    Happy Birthday: Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi mmoja, siku moja na wewe

    Sogeza mpaka 8 tupo wachache chalii arr ngoma 08 jan nawatafuta siwaoni
  6. Edward lazaro

    Ushauri: Mwanamke tajiri anataka niache chuo tufanye biashara

    Chalii itabidi ujue hiphop haizaliwi tena ila kwa sasa inakua.hiphop nikiwa na maana ya misingi na misingi IPO haiwezi zaliwa tena ila utajiri unaweza zaliwa na mzaaji mwenyewe ni wewe sasa basi ukitaka uendelee kufuata misingi lazima ujue wewe unahitaji ukatae utajiri Wa fas na ili usiwe...
  7. Edward lazaro

    Kuna ombwe kubwa la uongozi nchini

    Na mwanao atalaumu pia
  8. Edward lazaro

    Nampenda sana Mahondaw

    Naanza kupata njia ya kutokea [emoji2] [emoji2] [emoji2]
  9. Edward lazaro

    Je unaijua AMANA Bank, Inayokopesha bila Riba?

    Hilo n jibu sahihi lakini kwa amana bank vission sio sawa kwani interest yoyote ambayo hujaifanyia kazi wewe n kosa sasa hapo inakujaje tena suala la kufix pesa kwenye hzo akaunt halafu ikawa sahihi kupata interest?
  10. Edward lazaro

    Kuna ombwe kubwa la uongozi nchini

    Unaongelea maendeleo ukiwa mjini Tanzania sio ubungo kaka kuna namtumbo, kuna katesh kuna bariadi ...... Usiongelee masuala yenye faida tu katika uchumi mkubwa ongelea na uchumi mdogo, kwa nn unga ipande kilo,mchele pia Umeme maji mahosipitali shule bure lakini bado watu wanashindwa kuwapeleka...
  11. Edward lazaro

    Je unaijua AMANA Bank, Inayokopesha bila Riba?

    Kaka hata huko kuna dhuluma, dhuluma haipo pale/sehemu tu ambapo hakuna kutoa wala kupokea yaani wote muwe MNA chukua viwango sawa muwe na uwezo sawa, elimu sawa, nk Huduma hizo sasa mtapata bila ya dhuluma.
Back
Top Bottom