Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,405
Hivi ni kweli yule njiwa alipeperuka mkuu?Hata mimi naamini ni wewe....ushanipeperushia ndege wangu wa JF wewe!
Hivi ni kweli yule njiwa alipeperuka mkuu?Hata mimi naamini ni wewe....ushanipeperushia ndege wangu wa JF wewe!
Kapeperuka mkuu....amechukia eti najitangazia kwa watu ukiwemo wewe.Hivi ni kweli yule njiwa alipeperuka mkuu?
Am sorry mkuu ila mimi nilikuwa natania tu huwezi amini nilikuwa simjui ni nani hata mpaka sasa hivi simjui ni nani!!Kapeperuka mkuu....amechukia eti najitangazia kwa watu ukiwemo wewe.
Ndio hivyo utani mwingine unagonga ikulu.....Am sorry mkuu ila mimi nilikuwa natania tu huwezi amini nilikuwa simjui ni nani hata mpaka sasa hivi simjui ni nani!!
Wala sitakaa nitanie tena mtu mkuu,kuna jamaa mwingine nae anatumia ID ya Mondray nae ameachwa baada ya mimi kuingiza utani kwenye penzi lao na manzi fulani wa humu humu JF!Ndio hivyo utani mwingine unagonga ikulu.....
UkomeeeWala sitakaa nitanie tena mtu mkuu,kuna jamaa mwingine nae anatumia ID ya Mondray nae ameachwa baada ya mimi kuingiza utani kwenye penzi lao na manzi fulani wa humu humu JF!
Gotcha....im joking man! Siko serious mkuu natania tu hamna kitu kama hicho.Wala sitakaa nitanie tena mtu mkuu,kuna jamaa mwingine nae anatumia ID ya Mondray nae ameachwa baada ya mimi kuingiza utani kwenye penzi lao na manzi fulani wa humu humu JF!
Iwapo utafukuzwa kazi itakuwaje, Si utamkosa? Ni heri tutatafute kwake hata u-house boy then polepole tunaweza tuka-discuss nae, au unasemaje?Aisee huyu mtoto mimi nitahonga mishahara yangu yote kwa mwaka mzima
Gotcha....im joking man! Siko serious mkuu natania tu hamna kitu kama hicho.
Wala sikomi ng'oo,sasa hivi navizia hadi nijue kuwa wewe unampenda nani hapa JF ili nihamishie majeshi kwako!!Ukomeee
HahahaWala sikomi ng'oo,sasa hivi navizia hadi nijue kuwa wewe unampenda nani hapa JF ili nihamishie majeshi kwako!!
Haha ha!Asallam aleykum,
Penye moshi lazima kuna moto.
Maalim unavyolalamika kama mtoto mdogo lazima neema za Allah zimejaa tele.
Inabidi nianze kujiweka karibu ili nihakikishe.
(Habari dada yangu? Nakusabahi Ms.Lincoln
Hiyo avatar yako ni nzuri hadi natamani uwe dada yangu wa hiari!Hahaha
Unataka niachike au
mpaka unatia hurumaWala sitakaa nitanie tena mtu mkuu,kuna jamaa mwingine nae anatumia ID ya Mondray nae ameachwa baada ya mimi kuingiza utani kwenye penzi lao na manzi fulani wa humu humu JF!
ShkamoHiyo avatar yako ni nzuri hadi natamani uwe dada yangu wa hiari!
Shkamo