Ndugu wana JF ule waraka kuhusu mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba Mpya (BMK) uliotolewa tarehe 28 Agosti 2014 na Jukwaa la kikiristo Tanzania ambalo ni muungano wa Baraza za maaskofu wa katoliki (TEC),Jumuiya ya Kikiristo (CCT), umoja wa makanisa ya Kipentekoste na Umoja wa Makanisa ya...
Jamani hiki Chombo cha utangazaji kinachojiita Cha Umma kimepoteza sifa ni bora kiitwe chombo cha CCM.Nasema hivyo kwa sababu hakitendi haki kwa watanzania kwa mfano vipindi vingi vya mahojiano kama Jambo asubuhi wanaohojiwa ni makada wa CCM hasa ktk Mchakato wa katiba mpya.Wanachokifanya...
Rafiki yangu ana kiasi cha Tsh 24 million anahitaji gari aina ya RAV4( kama anaweza pata new model itakuwa nzuri zaidi); kwa show room za DSM ni eneo gani anaweza kupata gari zuri aina iliyotajwa au kwa anayejua aina nzuri ya gari ambalo inaweza kutembea masafa marefu kwa gharama hiyo hapo...
Rafiki yangu ana kiasi cha Tsh 24 million anahitaji gari aina ya RAV4( new model); kwa show room za DSM ni eneo gani anaweza kupata gari zuri aina iliyotajwa au kwa anayejua aina nzuri ya gari ambalo inaweza kutembea masafa marefu kwa gharama hiyo hapo juu. Nisaidieni please!!!
Rafiki yangu ana kiasi cha Tsh 24 million anahitaji gari aina ya RAV4( new model); kwa show room za DSM ni eneo gani anaweza kupata gari zuri aina iliyotajwa au kwa anayejua aina nzuri ya gari ambalo inaweza kutembea masafa marefu kwa gharama hiyo hapo juu. Nisaidieni please!!!
Nataka kununua gari hapa Dar(showroom) na kulipeleka Kagera,Lakini ninavyofahamu gari kama hujabadilidha umiliki,haina bima na haijalipiwa motor vehcle licence haiwezi kuingia barabaran hadi uwe umetimiza masharti hayo.Je nifanyeje ili niweze kwenda nalo Kagera ili nikafanyie process za...
Nataka kununua gari hapa Dar(showroom) na kulipeleka Kagera,Lakini ninavyofahamu gari kama hujabadilidha umiliki,haina bima na haijalipiwa motor vehcle licence haiwezi kuingia barabaran hadi uwe umetimiza masharti hayo.Je nifanyeje ili niweze kwenda nalo Kagera ili nikafanyie process za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.