Askari wa usalama barabarani Dar

Askari wa usalama barabarani Dar

Wamepewa target ya magari ya kukamata. Na wao nyumbani kwao pia kina Manka wamewapa target ya kurudi nayo. Hapo lazima tubanane nao!
 
Labda tuwachongee EFDs kurahishia uhakiki wa mapato yao..
 
Dawa ya traffic ndogo sana.
Toka nyumbani alfajir nenda kazini paki gari kabla hawajaamka. kaa kazini mpaka saa kumi na mbili na nusu washa mchuma rudi home. Jumamosi usiende mjini. Siku ya kwenda mkoa hakikisha saa kumi na mbili ushavuka Chalinze. Lugoba. Msata. Msata mizani Kimange mpaka Mbwewe utakuta bado wanakunywa supu ya utumbo. Kitumbi kuna matuta siku hizi hawapo. Utakuna nao Mkata . pale Mkata kaa nyuma ya fuso hapo hukutani nao tena mpaka Kabuku. wale wa Kabuku wanacheki majambazi zaidi hawana mpango na gari. Likanyagie mpaka njia panda Segera pale kuna wawili lkn utakuta wameshashiba hela za vi hiace. nyoosha mguu mpaka Maili kumi. pale kuna tochi endesha taratibu. ukiwapita nyoosha mguu. pita Korogwe taratibu kuna njagu kinaa wenye njaa ya kufa mtu pale. baada ya hapo nenda mpaka Mombo utawakutam Baada ya mkoa wa Tanga umewini maana askari wa Kilimanjaro ni waugwana sana na ukiwalilia shida wanakuelewa kama itikadi ya CHADEMA
 
Jamani wasilaumiwe wameagizwa .serikali yetu haina pesa za kulipa mishahara ya watumishi wake so hivyo ndo vyanzo vya mapato
 
Dawa ya traffic ndogo sana.
Toka nyumbani alfajir nenda kazini paki gari kabla hawajaamka. kaa kazini mpaka saa kumi na mbili na nusu washa mchuma rudi home. Jumamosi usiende mjini. Siku ya kwenda mkoa hakikisha saa kumi na mbili ushavuka Chalinze. Lugoba. Msata. Msata mizani Kimange mpaka Mbwewe utakuta bado wanakunywa supu ya utumbo. Kitumbi kuna matuta siku hizi hawapo. Utakuna nao Mkata . pale Mkata kaa nyuma ya fuso hapo hukutani nao tena mpaka Kabuku. wale wa Kabuku wanacheki majambazi zaidi hawana mpango na gari. Likanyagie mpaka njia panda Segera pale kuna wawili lkn utakuta wameshashiba hela za vi hiace. nyoosha mguu mpaka Maili kumi. pale kuna tochi endesha taratibu. ukiwapita nyoosha mguu. pita Korogwe taratibu kuna njagu kinaa wenye njaa ya kufa mtu pale. baada ya hapo nenda mpaka Mombo utawakutam Baada ya mkoa wa Tanga umewini maana askari wa Kilimanjaro ni waugwana sana na ukiwalilia shida wanakuelewa kama itikadi ya CHADEMA
duh sawa mkuu.....ila mimi niliona dawa yao wenye magari wote wapaki kuwe na mgomo
 
Kama mmegundua tangu wiki mbili zilizopita, siku hizi kila Traffic ana kitabu mkononi mwake katika maeneo mbalimbali jijini Das es Salaam, wamepewa zoezi la kukamata watu wenye makosa barabarani na kila kosa faini ni shilingi elfu thelathini, na kila Traffic lazima arudi na makosa matano kwa siku lasivyo anavuliwa uniform na anarudishwa FFU.

Wekeni vitu vyenu vyote sawa kwenye magari, watajaribu kutafuta kosa la aina yoyote lile ili wakupige faini.



Hats vikiwa sawa bado wana nyege za rushwa

Leo wamenisimamisha Niko traffic light za airport wanaomba leseni Mara triangle nkawajibu sina paki pale nawambia wapi nikapaki puma shell wakaja nukafungua boneti nikawaonyesha he wanadai

Unajua ulisimama mbele ya mistari ..nikauliza IPI wapi mmwonyesha simama hapa mmojawao akacheka akamwambia mwenzie mwana Huyo achana nae

Sikuelewa anamaanagani nikaanza
 
Pale Shekilango ikitokea hauna kosa lolote watakwambia gari chafu. Ili mradi tu "wakulambe".

Wewe mpuuzi lini umeambiwa gari chafu mtu wenyewe hata baiskeli huna unachafa hali ya hewa
 
Dawa ya traffic ndogo sana.
Toka nyumbani alfajir nenda kazini paki gari kabla hawajaamka. kaa kazini mpaka saa kumi na mbili na nusu washa mchuma rudi home. Jumamosi usiende mjini. Siku ya kwenda mkoa hakikisha saa kumi na mbili ushavuka Chalinze. Lugoba. Msata. Msata mizani Kimange mpaka Mbwewe utakuta bado wanakunywa supu ya utumbo. Kitumbi kuna matuta siku hizi hawapo. Utakuna nao Mkata . pale Mkata kaa nyuma ya fuso hapo hukutani nao tena mpaka Kabuku. wale wa Kabuku wanacheki majambazi zaidi hawana mpango na gari. Likanyagie mpaka njia panda Segera pale kuna wawili lkn utakuta wameshashiba hela za vi hiace. nyoosha mguu mpaka Maili kumi. pale kuna tochi endesha taratibu. ukiwapita nyoosha mguu. pita Korogwe taratibu kuna njagu kinaa wenye njaa ya kufa mtu pale. baada ya hapo nenda mpaka Mombo utawakutam Baada ya mkoa wa Tanga umewini maana askari wa Kilimanjaro ni waugwana sana na ukiwalilia shida wanakuelewa kama itikadi ya CHADEMA

Uko kooote ukikamatwa washa taa Mara tatu kabla ya kusimama also akikisha usipaki Gari pembeni ..simama njiani hiyo heshima ya jeshi na polisi anàkuachia ukiwasha taa ukapaki pembeni mimba wanajya umepaste ujui kinachotakiwa kufanyika

Safarinjema ila kadi za harusi zq faini leo nnyingi sijui sherehe wapi mwaya

Mpinga atakujakutyjuza
 
Wewe mpuuzi lini umeambiwa gari chafu mtu wenyewe hata baiskeli huna unachafa hali ya hewa

Mpuuzi niwewe unaetukana wenzio kuwa mastarabu hatakama anagusamaslahi ya babazenu hii in jf unasoma unachuna unga utakuwepo tu msijali
 
Uko kooote ukikamatwa washa taa Mara tatu kabla ya kusimama also akikisha usipaki Gari pembeni ..simama njiani hiyo heshima ya jeshi na polisi anàkuachia ukiwasha taa ukapaki pembeni mimba wanajya umepaste ujui kinachotakiwa kufanyika

Safarinjema ila kadi za harusi zq faini leo nnyingi sijui sherehe wapi mwaya

Mpinga atakujakutyjuza

ha ha ha ha ha ha ha
mkuu napenda unavyoandika
 
Unajua ni magari mangapi mabovu yanatembea barabarani? na unajua ajali ngapi zinasababishwa na magari mabovu? ni mara chache sana hilo unalolisema linatokea, maaana mara nyingi wakikagua na kukuta una kila kitu hua wanakuachia labda tu itokee jamaa ana njaa sana

Anagusa ikuulu zenu Mkuu

Mpe
 
Tatizo la wabongo ni hili

Mlilalamika traffic wanchukua rushwa wakawasikia sasa wamekaza uzi ukizingua tu,notification 30 inakutoka.mambo yamekuwa magumu.

Aaaaaaargh kama vip pakini vikobe vyenu home mpande uda,acheni watu wafanye kazi.
 
Nimesoma comments zote hadi hapa sijaona jibu la kwanini traffic wote ghafla wana vitabu..wenye majibu ya uhakika tunawasubiri kwa hamu.
 
Hahaha angalia asije akakukasirikia kaka.

Ngoja Nimuulize Kaka Yangu Maana Na Yeye Pia Ni Msukuma Upepo Barabarani Hapa Jijini Dar Na Naona Kila Kukicha Anazidi Kutajirika Tu Na Kufanya Mambo Makubwa Na Ukitaka Ugombane Nae Tu Mwambie Aachane Na USUKUMAJI Upepo Humu Mabarabarani Mwetu.
 
Wengine hatujui hata hizo karatasi zinafananaje
 
Kama mmegundua tangu wiki mbili zilizopita, siku hizi kila Traffic ana kitabu mkononi mwake katika maeneo mbalimbali jijini Das es Salaam, wamepewa zoezi la kukamata watu wenye makosa barabarani na kila kosa faini ni shilingi elfu thelathini, na kila Traffic lazima arudi na makosa matano kwa siku lasivyo anavuliwa uniform na anarudishwa FFU.

Wekeni vitu vyenu vyote sawa kwenye magari, watajaribu kutafuta kosa la aina yoyote lile ili wakupige faini.



du, hii ni kali na mpya! ina maana kumbe wamepewa target ya makosa 5 kwa siku? na wasipoyapata wanalazimisha? nchi hii ina 'fituko' sana!
 
Back
Top Bottom