Recent content by EDIGAR JO

  1. EDIGAR JO

    Ofa ya watoto wa nguruwe LARGE WHITE chotara

    Kuna OFA ya watoto wa nguruwe aina ya LARGE WHITE chotara Umri : miezi mitatu Chanjo : zote zimepigwa Afya : ipo kama katika video Bei : 150k kila moja Location : mpunguzi, bahi dodoma Popote unaletewa Mawasiliano : 0685237039
  2. EDIGAR JO

    GE2025 Kunje achukua fomu ya urais Tanzania

    Toeni taratibu na mimi nianzishe chama wakuu 🤕 , Maana inaonekana inahitaji mtaji kidogo sana 🙌
  3. EDIGAR JO

    Nataka kufanya biashara ya vijora kutembeza mtaani mtaji 150k nianzaje

    Kijana 🤒 au basi . Ngoja nikae kimya 😂🤔
  4. EDIGAR JO

    Kwani mkiishia kusema NO REFORM NO ELECTION haitotosha?

    Kwani mkiishia kusema NO REFORM NO ELECTION haitotosha mpaka mnataka mniue na mimi !!!😱 Wanachadema punguzeni jaziba , sis sote ni watanzania sema utofauti ni upande wa kiganja tunapo pokelea chakula. Acheni basi , wakati wenu utafika na nyie mtatawala .
  5. EDIGAR JO

    Zifahamu sheria za kuvaa suti. Utatoboa?

    NO. 9 Alooooo😂 Konda unae soma ujumbe huu ujipange nakutifua hata kama ni 50/= nipe changu. 26.Siwezi towa ndevu kaka 😁 nilizaliwa mweupe kidevu kama embe siwez kufa mweupe tena .
  6. EDIGAR JO

    Kwa zama tulizopo ni bora mtu kwenda Ordinary diploma au Advance Education (Form 5 na 6?)

    Hapo shida inaanzia pale ambapo watoto wanasoma kuanzia la Kwanza mpaka kidato cha nne bila kuwa na mawazo ya ndoto yake ya baadae. 📌Akifikia muda wa kuhitimu kidato cha nne anaanza kukurupukia michepuo 🙌 📌Na hata akiupata mvhepuo hajui vhuo kikuu ataenda kusomea nini ??? Sasa, hujachelewa...
  7. EDIGAR JO

    Kuoga ni dk15-20, Nyie mnaotumia dk1,2,3 kuoga, unaoga! Sasa unaoga nini?

    Na haifai kuingia hata bafuni , muachie mke wako tu.Wewe katafute fweza 📌🙅
  8. EDIGAR JO

    Computer4Sale Bei ya tablet na PC zetu imepungua, karibuni kununua

    🇬🇧𝐆𝐎𝐎𝐆𝐋𝐄 𝐏𝐈𝐗𝐄𝐋 𝐎𝐑𝐈𝐆𝐈𝐍𝐀𝐋 𝐒𝐓𝐎𝐂𝐊 𝐀𝐀++ -𝟒𝐚 𝟏𝟐𝟖𝐠𝐛 36𝟎,𝟎𝟎𝟎 -𝟒𝐱𝐥 𝟔𝟒𝐠𝐛 𝟑7𝟎,𝟎𝟎𝟎 -𝟔𝐚 𝟏𝟐𝟖𝐠𝐛 𝟑9𝟓,𝟎𝟎𝟎 -𝟔 𝟏𝟐𝟖𝐠𝐛 46𝟓,𝟎𝟎𝟎 -𝟕 𝟏𝟐𝟖𝐠𝐛 53𝟎,𝟎𝟎𝟎 ☎️𝐂𝐚𝐥𝐥/𝐓𝐞𝐱𝐭 𝟎𝟔85237039
  9. EDIGAR JO

    Computer4Sale Bei ya tablet na PC zetu imepungua, karibuni kununua

    Na hakuna simu ina kioo fake
  10. EDIGAR JO

    Computer4Sale Bei ya tablet na PC zetu imepungua, karibuni kununua

    Yes kaka, hazijabadilishwa kioo
  11. EDIGAR JO

    Computer4Sale Bei ya tablet na PC zetu imepungua, karibuni kununua

    🇬🇧GOOGLE PIXEL ORIGINAL RESTOCKED STOCK AA++ (FIXED 📌) -4a 128gb 360,000 -4xl 64gb 380,000 -6a 128gb 405,000 -6 128gb 455,000 -6pro 128gb 590,000 -7 128gb 500,000 -7pro 128gb 750,000 ☎️Call/Text 0685237039 🇬🇧
  12. EDIGAR JO

    Computer4Sale Bei ya tablet na PC zetu imepungua, karibuni kununua

    Uhakika njoo tukupe za dukani au tukuagizie kabisa Dubai namba ni 0685237039
  13. EDIGAR JO

    Computer4Sale Bei ya tablet na PC zetu imepungua, karibuni kununua

    Mkuu fm tssap nikufowardie 0685237039.
  14. EDIGAR JO

    Computer4Sale Bei ya tablet na PC zetu imepungua, karibuni kununua

    Ni ATOUCH TABLETS LIST K96 pro 8/256GB 175,000/= X18 TABLET PC 8/256GB 190,000/= Q42 8/256GB 195,000/ Q40 8/256GB 185,000/= KC63 8/256GB 205,000/= KD55 8/256GB 220,000/= KT37 8/256GB 265,000/= X19pro TABLET PC 8/256GB 285,000/= X19life TABLET PC 8/512GB 295,000/= SE MAX LITE TABLET...
Back
Top Bottom