Recent content by edgarrweyemamu

  1. E

    Ya Mama Salma Kikwete ni vitisho tosha

    sawa alikuja kama mama yake lkn ni wagombea wangapi mama zao wanapanda jukwaani kwa ajili ya kuwanadi watto wao?
  2. E

    Kwanini msiongee kiswahini badala yake mnaongea kilugha nisichokijua?

    Hao watakuwa ni wajaluo tu si wangine kwaniwanapenda sana kuongea kilugha.
  3. E

    Andhaa Kanoon

    Ni kweli ndugu yangu unaweza ukawa hivyo, embu nenda katafute filamu hii ya andha kanoon, mbona utaipenda!!!!
  4. E

    PAKA MJINGA HUYU HAaa

    Paka la kibisa hilo!!!
  5. E

    Zambezi Bar hapa Riverside ni danguro la waziii kabisa

    Dah hapa napasikia sana, ngoja nitafute safari ya Ar, wazuuu watanitambua aiseee!!!!
  6. E

    Shule nzuri kwa makombi haya

    Kitu Tosamaganga high school mzee, safi sana kwa EGM, PCB and CBG
  7. E

    "Super Sami" Msipojirekebisha Siku Zenu Zitahesabika Barabarani..

    Unafika kuanzia saa sita hadi saa saba usiku, ni magari mazuri kwa kuangalia lkn ngoja upande uone, utajuuuuta kuzaliwa.
  8. E

    Hivi demu akikubania sex kuna mapenzi kweli hapo?

    We mshukuru mungu wako na uende zako mkuu kwani huwezi jua mungu anakuepusha na nn dhidi ya huyo dada.
  9. E

    Afisa TRA - mtoto wa miaka 2 kumiliki ghorofa

    Ana maana kuwa mababa zao wanajenga mijengo na halafu wanaandikisha majina ya watto wao.
  10. E

    sumsung galaxy tab 2 au tab 3

    Ongeza bajeti yako kwanza, hapo uko chini sana.
  11. E

    'First Class' ya UDOM ni sawa na 'Gentleman' ya SUA

    Nani anataka kuja katika chuo cha kata?someni nyie mabwege.
  12. E

    TISS wataita watu lini kwaajili ya mafunzo yaani depo?

    Ndugu hawa jamaa ufuatiliaji wao ni wa muda mrefu sana, hivyo usiwe na haraka sana, ww bila kujua hawa wako kwenye usaili watakuwa wanakufuatilia.
  13. E

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    Hongeleni sana wale woooote mliopata nyadhifa mpya, nadhani leo mnakula kuku kwa mlija. Hongera sana Mr. Mwigulu Nchemba, kazi kwako sasa.
  14. E

    utumishi

    Mwigulu ni chata Ilboru sekondari, hivyo naamini ni kichwa!!!
  15. E

    Rav 4

    Weka picha ww, umekuaje?
Back
Top Bottom