Recent content by Eddie91

  1. Eddie91

    Rais Magufuli apigilia msumari jeneza la wauza Dawa za Kulevya, asema si kazi ya Makonda pekee

    Kwa issue ya madawa nakaa pembeni mimi nikisema nitafungwa
  2. Eddie91

    Mke wa mtu sumu; Polisi ataka kuua mwenzie

    Hahaaaa nacheka kwa dharaaaau walinzi wa mali za wananchi
  3. Eddie91

    Ndoa za watu waliooana na wote wasomi wanaongoza kwa kuchepuka

    Kwa ujinga wao wanakuambia wanachepuka kisomi
  4. Eddie91

    Kanitafutia kazi sasa nimekuwa mtumwa wa ngono

    Wakati anakutafutia kazi ulituambia acha hizo
  5. Eddie91

    Nahitaji Ushauri hii kwa wanaume wenzangu tu

    Jaribu kuongea naye taratibu mapenzi ni feeling pia usichoke kumfanyia vitu vizuri lakini usimforce utamuudhi na utamkosa jaribu kumuonesha kuwa wewe upo tofauti na mtu mwingine
  6. Eddie91

    Nilivyonusurika kutwangwa risasi na rafiki yangu kisa mchepuko wake

    Angekuua tu mijitu tamaa na hicho kiepe ulipeleka kwa mkeo?
  7. Eddie91

    Wizara ya Elimu yawaasa vijana kutumia Elimu kujiajiri

    Sie tujiajiri halafu ninyi na watoto wenu muajiriwe? Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
  8. Eddie91

    Ofisi ya Makamu wa Rais yakanusha mama Samia Suluhu kujiuzulu umakamu wa Rais

    Hata akijiuzulu walichaguana wao wakigombana watajua wao
  9. Eddie91

    CUF: Rais Magufuli aache kutumia mamlaka yake vibaya aheshimu misingi ya haki, demokrasia

    Aliyedai kumpa tuzo Jecha anajua alivyo yafanya matokeo kwani kawapa ulaji
  10. Eddie91

    Ushauri: Huyu binti kumbe hajui kupika

    Mfundishe kupika man
  11. Eddie91

    Mke anataka waachane, mume hataki bado anampenda

    Kama hataki si amuache hata kama kamsomesha wanawake wengine hubadilika na kisahau fadhila....Mapenzi tonge la moto kooni kulitema huwezi inabidi ulimeze tuuuu
Back
Top Bottom