Msemajiwao
JF-Expert Member
- Sep 12, 2016
- 619
- 1,513
Ukweli Mchungu, lakini ukweli lazima usemwe; Ndoa za watu waliooana wote wasomi kwa maana ya wote kila mmoja anakazi yake kwa utafiti wangu mdogo nimegundua kwamba nyingi Hazina furaha kama ambavyo watu wanafikiria, Nyingi zinaongoza kwa migogoro ya kimapenzi inayosabisha wanandoa kuwa na MCHEPUKO!
Udadisi wangu umeenda mbali zaidi kwa kuangalia pia ndoa za wale ambao wameoa au kuolewa na mme/ mke ambaye siyo msomi zinaonekana kuwa nafuraha zaidi kuriko ndoa za wasomi!
Ndoa za wasomi; nyingi zinaongozwa na sera ya "UKIMWAGA MBOGA, MI NAMWAGA UGALI" ,KAMA MBWAI IWE MBWAI n.k
Wapenzi wote ni wababe na kila mmoja ana jeuri,Kiufupi zimejaa malumbano na majibizano yasiyoisha kila siku yenye kumfanya kila mmoja anajiona mwamba kwa mwenzake.
Wasomi wanandoa ni wachepkaji kuliko kawaida sababu kuu ikiwa ni Semina na Vikao visivyoisha.
Wanandoa wasomi Mungu anawaona kwa michepuko yenu!
Udadisi wangu umeenda mbali zaidi kwa kuangalia pia ndoa za wale ambao wameoa au kuolewa na mme/ mke ambaye siyo msomi zinaonekana kuwa nafuraha zaidi kuriko ndoa za wasomi!
Ndoa za wasomi; nyingi zinaongozwa na sera ya "UKIMWAGA MBOGA, MI NAMWAGA UGALI" ,KAMA MBWAI IWE MBWAI n.k
Wapenzi wote ni wababe na kila mmoja ana jeuri,Kiufupi zimejaa malumbano na majibizano yasiyoisha kila siku yenye kumfanya kila mmoja anajiona mwamba kwa mwenzake.
Wasomi wanandoa ni wachepkaji kuliko kawaida sababu kuu ikiwa ni Semina na Vikao visivyoisha.
Wanandoa wasomi Mungu anawaona kwa michepuko yenu!