Nimejalibu kugoogle naona siwaelewi ndugu nikaona nishikikishe members maana hapa naona ntapata majibu ya ukweli kuliko hata kwenda.Kipo Harare Zimbabwe
Wadau gari yangu Toyota ist inagoma kupiga reverse naombe ushauri maana nimewaona mafundi wawili wanasema nibadili giabox.nikajiuliza kama giabox mbovu mbona gia nyingine zinafanya kazi????
Mimi juzi nikapigiwa simu na Dada mmoja nafanya nae kazi wizara moja but Mimi nipo mkoa yeye yupo hapa Dar kanambia ana maongezi na Mimi kwakuwa nipo dar tuonane nikamwambia poa kesho ntakuja kwako akasema hapana tukutane mlimani city nkamwambia poa bahati mbaya kesho yake nikapata udhuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.