Recent content by Ed5

  1. Ed5

    Naomba ushauri kuhusu chuo cha Manyame Airbase, Zimbabwe

    Ipo kweli ila ukisoma hapa bongo ukitoka nje haina nguvu ila zimbabwe na south Africa unafanya kazi popote pale
  2. Ed5

    Naomba ushauri kuhusu chuo cha Manyame Airbase, Zimbabwe

    Nimejalibu kugoogle naona siwaelewi ndugu nikaona nishikikishe members maana hapa naona ntapata majibu ya ukweli kuliko hata kwenda.Kipo Harare Zimbabwe
  3. Ed5

    Naomba ushauri kuhusu chuo cha Manyame Airbase, Zimbabwe

    Kama kuna member yoyote anaweza kunipa ushauri kuhusu hiki chuo cha ufundi ndege kipo zimbabwe naomba please nataka kuapply pale nimpeleke mwanangu
  4. Ed5

    Sadaka zimekuwa nyingi sana, dini imekuwa biashara

    Sudan pamoja na kupigana au machafuko pesa yao ipo juu kuliko ya Tanzania nimetoka miezi miwili ilopita
  5. Ed5

    Ukitaka kuishi vizuri Dar es Salaam ishi Kigamboni

    Naona kila mtu anavutia kalibu na ofisi yake ilipo
  6. Ed5

    Ukitaka kuishi vizuri Dar es Salaam ishi Kigamboni

    Mvuti Safi nataka nije huko
  7. Ed5

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Wadau gari yangu Toyota ist inagoma kupiga reverse naombe ushauri maana nimewaona mafundi wawili wanasema nibadili giabox.nikajiuliza kama giabox mbovu mbona gia nyingine zinafanya kazi????
  8. Ed5

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Naitaji lejeta full complete na taa ya mbele ya ist
  9. Ed5

    Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

    Mimi juzi nikapigiwa simu na Dada mmoja nafanya nae kazi wizara moja but Mimi nipo mkoa yeye yupo hapa Dar kanambia ana maongezi na Mimi kwakuwa nipo dar tuonane nikamwambia poa kesho ntakuja kwako akasema hapana tukutane mlimani city nkamwambia poa bahati mbaya kesho yake nikapata udhuru...
  10. Ed5

    Car4Sale Magari mazuri yapo sokoni

    Nipatie ra4 killtime 5 door ofa 8
Back
Top Bottom