Ahaaaaaa yupi huyo?Ukiwa Rais wa Tanzania usipokuwa makini utafanya kazi ya Teuzi miaka yote mitano. Nakumbuka Kikwete mpaka siku ya mwisho aliteua, bahati mbaya mteule akawa wa kwanza kutumbuliwa.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Karne ya 21 unawaza udini???Wagalatia tumekumbukwa
Ukiwa Rais wa Tanzania usipokuwa makini utafanya kazi ya Teuzi miaka yote mitano. Nakumbuka Kikwete mpaka siku ya mwisho aliteua, bahati mbaya mteule akawa wa kwanza kutumbuliwa.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Arudi Gambosh akaogeshwe dawa.Hata hii imepita mzee wa Karma Pascal Mayalla?