Nimependa sana hii statement ya mwisho baadae ya Pirijo nyiiiiingi mwisho anashindwa kujitetea Chama chair kwa wana nchi kwani hoja ya naingia ni uwajibikaji wa serikali ya ccm and poor nape ana ischia kuku bail kuwa mawaziri hawajawahi fika huko!! Sa Sonora asingeenda hata kwenye hiyo ziara...
duh mwenzetu unatafuta ajira nini? kama hizo red text uliandika wewe sa siusimame umsaidie kama wakili wake? au unataka tukuchangie gharama za wewe kuisimamia kesi ya YUDA? hah hah hah
mkuu punguza ushamba, kama mtu ni anamiliki kampuni ya kwake hicho cheo kinamuhusu. na si lazima kampuni iwe ya meli za kubeba pembe za ndovu wetu, mtaji wa chini kabisa kusajili kampuni Brella ni 5m,
hah hah hah! UDOM was a plan since then na kilianza kujengwa na mkapa JK akamalizia ndugu, ndo mana kulikuwa na lile Jengo la CHIMWAGA, waulize wenzako wanaojua mambo watakuambia Nyerere alihakikisha chimwaga imejengwa kwasababu gani!
Kuhusu NELSON MANDELA pls usipotoshe uma, halikuwepo katika...
kina mwigulu wangekuwa na majibu haya kwenye Hoja za msingi wangekalia uraisi milele, but kwa kuwa hawana majibu haya, na yanapatikana chadema pekee, BYE BYE BYE ccm pale magogoni.... notice nadhani mmeshaipata msije mkafika 2015 mkasema hatukuwapa taarifa mmkaanza kupanda juu ya paa kukataa...
ndugu unafikiri kwa kutumia nini? unataka sisi tufanyaje? ardhi zinauzwa kila siku, huyo sultani alimiliki hadi mwaka 1886 umeonyesha mwenyewe kkwenye ramani, fuatilia kuna hati ya maandikishiano na mjerumani.
Namshukuru Mungu kwa kujibu maombi yangu na ya watanzania wote waliombeba Mr. Lwakatare na familia yake.
Kuhusu suala la udini, "JK JIULIZE KILA SIKU TUNAPANDA DALADALA PAMOJA MISIKITI NA MAKANISA YAPO MITAANI KWETU HAKUNA FUJO, " haya matatizo nani kaanzisha kama si misemo yako wakati...
Hivi na wewe Kinana utajiita mzalendo kweli? katika jambo hili linalohusu rasilimali za taifa badala ya kutoa msaada wako "basi kama hukuhusika watu waliohusika" kukodi meli yako kusafirishia mali za watanzania wote zenye thamani ya mabilioni ya shilingi unadai kusafishwa jina baada ya biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.