Mungu akubariki utapata soon unakila zana ya kupatia kazi ya Acc usiloose confident cos hujawa na kazi conf ndio hazina yako kuu go to the interview with your head held high
Tatizo nililoliona kwa zoom ambalo wanawezakulifanyia kazi ni kwamba unawezapost chochote bila wao kupitia kwa mfano mtu anawezaweka advert la kazi halijakidhi vigezo vile vya kawaida halina qualification needed,adress au website ya advertiser au simu, sasa zoom either wawe wanapitia kwanza na...
Usimkubalie huyo kaka anataka ku take advantage ya misaada yake nimekupenda bure na hio misimamo yako endelea hivyohivyo mpaka utakapofika umri wa kuolewa maana sasa hivi watu wamehalalisha uzinzi na pia ujifunze kuachakumtegemea mwanadamu " na alaaniwe amtegemeaye mwanadamu"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.